Chimunguru
JF-Expert Member
- May 3, 2009
- 10,678
- 4,370
Mh mtoa mada umenichekesha sana huo mti wenye chui pembeni ya barabara hapo mikumi umepandwa leo? Kwanza chui hupenda kujificha sana jawezi kaa pembeni ya bara
barabara malori yanapita kwa fujo namna ile. Hahahahaahah
barabara malori yanapita kwa fujo namna ile. Hahahahaahah