Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Simba mikumi mchana.... TEMA mate chini..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilijuta sana unaweza kuzimia ukimwona simba nilikuwa nadrive huku nawaza zile documentary za WILD LIFE simba alivyokuwa anamrukia nyati hadi leo sijarud DAR nawaza nirudije
Yaani unapita speed 150 na unaweza kuona simba ana damu mdomoni!!
Halafu ni nadra sana kuona wanyama hao wote ukiwa unapita Mikumi.
Ila poa tu ngoja tumeze!!
Sheria ya kupita mbuga za wanyama ni spidi hisiyozidi 50km per hour hivyo unatakiwa ushtakiwe kwa kuvunja sheria
Wewe ni mwongo kupindukia maana habari ilivyonioongo mtupu.
Umeona eh? maana hiyo speed aliyokuwa anatumia na hayo matukio yaliyotoke ni vigumu kuvihusisha! utumie pikipiki 150km/h ugeuze shingo kuangalia simba,kichaka mtikisiko,nyati mvuka njia wacha wee!Wewe ni mwongo kupindukia maana habari ilivyonioongo mtupu.
Bwana msema uongo mchana kweupe tuambie hiyo pressure ya kupanda au kushuka?na ilikupata baada ya kumaliza safari yako au ukiwa mbugani na ulitibiwa haospitali ipi huku ukiambatanisha na copy ya cheti!jitu ongo hiliwala halioni haya!Mmehabarikaje Wandugu ,
nimerud niliandika uzi kuomba uzoefu kwa waliozoea kusafiri kupitia Mbuga ya mikumi na mm nilikuwa natska kupita na Mwanandama wangu ,
niliondoka Moro saa 8 kwa speed ya MOTOCHINI 150 nilifika saa 9:30
safar inaendelea nimefika Mwanzo wa mbuga naona amani tu ,nimepata kujionea swala makundi kwa makundi,pundamilia na twiga kwa mbali huku tembo nao wakiendelea kutembea kwa kujigamba
safari inaendeleaa....,. wakati bado nipo katikati ya mbuga ghafla kwenye kichaka nasikia kinatikisika ghafla simba kama watano wanatoka wakiwa wa damu mdomoni wakawa wananitizama watatu wakaunguruma huku wanafata usawa wangu nilichofanya nikuongeza speed 180 kwan BAJA haina kujali BAMPS,wakatrot kidogo wakarud zao,mbele kidogo mita 200 kwenye mti mkubwa namuona chui akiwa na swala kwenye mti,
viumbe walionitisha ni Nyati waliopita kwa makundi kuvuka barabara ilibid nisisimame bali nirud nilipotoka hadi nilipoona wamepita wote ndio nikapita speed 120 lakin walirud baadhi kunifukuzia lkn kwa kua wote mnamwelewa ndama alivyo ,nilitaka kuzimia nimekutana na simba wawili mbele kulia na kushoto wawili katikati wameacha nafas nilichofanya nikuwapita kama mwewe au kipanga hao nduli kwan wote mnajua mziki wao ulivyo
USHAURI:Jaman ndugu zangun hapo mbugani sio pa kupita jion wala usiku,mm nimepita jioni mengi niliyoyaona sipiti tena bora nipakie pikipiki kwenye lori ,mnaotaka picha ni ngumu kupata labda ningekua nipo na wewe ukashuka kunipiga picha zingetokea vizuri
HEBU TUAMBIE NA WEWE YALIYOKUKUTA MM NILIPATA PRESSURE SIKU 3
Huyu si muongo alitaka tufahamu ujuha wake tu!aibuuuuu mtu mzima ovyooooooo kawadanganye wengine hapa umebugi.
huna haja ya kutilia shaka hii hadithi!mbonaimethibiti bila shaka kuwa ni ya uongo tena wa kitoto!nina mashaka na hii stori
Yaani unapita speed 150 na unaweza kuona simba ana damu mdomoni!!
Halafu ni nadra sana kuona wanyama hao wote ukiwa unapita Mikumi.
Ila poa tu ngoja tumeze!!
japo stoi yaonekana fiksi. lakini kufuata basi pia ni hatari mfano. bsi likikuta kundi la nyati litasimama na wewe lazima usimame. haya mabasi yanaharaka hivyo hilo basi litaanza kupush mdogomdogo kati ya kundi mana haliwezi kaadakika nyingi kama kundi kubwa. wewe utafanyaje UTAJITOSA mwendo kwa speed ya binadamu kutembea kulifuata basi likipasua kundi la nyati. SUBUTU Kama hujakutana na nyati menye mtoto harafu katoto kake kajisogeze kwakoKabla ya kuingia mikumi hapo mwanzoni kuna sehemu ya kuchimba dawa na mabasi mengi husimama, ingekuwaje kama ungesubiri basi lipite hlf ulifuate kwa nyuma???