Mrejesho: Nina wasiwasi na huyu dogo

Pole sana mkuu. Deal sawa sawa na huyo jamaa anaemfanyia huo mchezo...hakikisha anaenda jela, na yeye akafanyiwe huo mchezo na manyapara.
Inasikitisha na kuleta hasira at the same time.
 
Nilikuw nangojea sana huu mrejesho ss wenye watt wa kiume saiv hatupumui jaman hata mtt wa kike hachungwi tena kama wa kiume naumia sana
 
Ushoga ni ROHO kamili ya Ibilisi. Angalia approach yako ktk kudeal na huyo dogo unaweza kumuumiza bure kumbe kuna nguvu inamdrive.

Muombe Mungu akupe hekima otherwise utwangaji wa maji kwenye kinu haukwepeki hapo.
 
Usitumie nguvu sana manake atakuona adui hatua ulizochukua ni mwanzo mzuri ila usiwambie wazazi utawaumiza sana mpe muda naamini ataweza kubadilika.Kama sio hanithi au mseng.e nadhani ni saikilojia tu!Yakudeal nayo.
 
Je kama mwalimu ndo anasukuma tope (anafumua rinda) itakuaje?
 
Pole sana ndugu, hapo jipange vizuri namna ya kuwaeleza home hasa wazazi wako ili wasije wakajiuliza imekuaje amefikia huko wakati alikua anaishi na ww?
 
Pole sana uyo jamaana wala usihangaike na kesi wapo wataalam wa uchawi humu wanaweza kukusaidi kumloga akojoe shahawa mpaka afe,,,,pumbavu zake
 
Usitumie nguvu sana manake atakuona adui hatua ulizochukua ni mwanzo mzuri ila usiwambie wazazi utawaumiza sana mpe muda naamini ataweza kubadilika.Kama sio hanithi au mseng.e nadhani ni saikilojia tu!Yakudeal nayo.
ni mzima kabisa mkuu ana ttzo lolote la kibaolojia
 
nahisi umekosea kumdunda. ungeongea naye polepole. na ukiwaambia broh, maza ,dingi na mwalimu utazidi kumuaibisha na shule itakuwa ngumu. mtafutie mwanasaikolojia.
 
Mkuu Mimi naona ni bora aendelee vile vile alivyoamua kufanya kuliko kumhamisha shule kule itakuwa ni rahisi kwake kuendeleza hiyo tabia huyu kijana anatakiwa asiwe na upenyo wa kutoka wala kuwa na muda na wenzie kwa kipindi Fulani Mungu amsaidie na kumuondolea janga hilo alilolizusha pia abanwe hadi awataje wanaona mshughulikia ili iwe rahisi kwa yeye kupewa ushauri wa kuwaepuka
 
Am speechless bali mungu akuongoze ufanye kitu kizuri mkuu umuokoe mdogo wako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…