Mrejesho: Nina wasiwasi na huyu dogo

Mrejesho: Nina wasiwasi na huyu dogo

Pole sana mkuu!
Hili jambo ni gumu sana usilichukulie kimabavu bali akili kubwa.
Tegemea miujiza ya Mungu ktk kumbadilisha mdogo wako.
Fuatia kwa makini chanzo na kiini cha hilo tatizo make mara zote tabia za kishoga huwa zinaanzia nyumbani kulingana na malezi.
Kama dogo mlimzoesha kupikapika, kukaa na kupendelea vikao vya kikekike, usafi uliopitiliza kama ke, kutangulizana na dadazake kila waendako,kupendelea kujipodoa kuliko pitiliza na kuruhusu hali kudundwa na malalamiko ya kijinga jinga kila mara dhidi ya wanaume rika lake... n.k haya yote huchangia sana kumfanya mtoto wa kiume kuwa choko.

Kitendo cha yeye kufikia maamzi ya kukuambia live kuwa anajihusisha na ushoga seems kachukulia kuwa ni jambo la kawaida na he is so into it! Sasa kumbadilisha ghafla sio jambo jepesi.
Treat him friendly but be serious. Mfanye ajiamini kwamba yeye kazaliwa kidume sema alikolalia siko and he might as well change himself.
Ukimwendea kwa pupa atatoroka hapo home na kujichanganya kitaa au hata kuhama kabisa jiji...
 
nahisi umekosea kumdunda. ungeongea naye polepole. na ukiwaambia broh, maza ,dingi na mwalimu utazidi kumuaibisha na shule itakuwa ngumu. mtafutie mwanasaikolojia.
me simwambii mwalimu wake na nilimpiga kwa sababu alkua hataki kusema
 
Pole sana mkuu!
Hili jambo ni gumu sana usilichukulie kimabavu bali akili kubwa.
Tegemea miujiza ya Mungu ktk kumbadilisha mdogo wako.
Fuatia kwa makini chanzo na kiini cha hilo tatizo make mara zote tabia za kishoga huwa zinaanzia nyumbani kulingana na malezi.
Kama dogo mlimzoesha kupikapika, kukaa na kupendelea vikao vya kikekike, usafi uliopitiliza kama ke, kutangulizana na dadazake kila waendako,kupendelea kujipodoa kuliko pitiliza na kuruhusu hali kudundwa na malalamiko ya kijinga jinga kila mara dhidi ya wanaume rika lake... n.k haya yote huchangia sana kumfanya mtoto wa kiume kuwa choko.

Kitendo cha yeye kufikia maamzi ya kukuambia live kuwa anajihusisha na ushoga seems kachukulia kuwa ni jambo la kawaida na he is so into it! Sasa kumbadilisha ghafla sio jambo jepesi.
Treat him friendly but be serious. Mfanye ajiamini kwamba yeye kazaliwa kidume sema alikolalia siko and he might as well change himself.
Ukimwendea kwa pupa atatoroka hapo home na kujichanganya kitaa au hata kuhama kabisa jiji...
ushauri wako ni mzuri ila nahisi atakua kafundishwa na watoto wenzake
 
mkuu huyo hawezi kuacha sana sana atakuja kukutia aibu zaidi huko mbele safari.....mti kwenye gari washa gari endesha mpeleke mpakani mwa kigoma na Kongo akiwa hana hata shillings mfukoni alafu muache huko huko wewe rudi uendelee na maisha yako
 
ushauri wako ni mzuri ila nahisi atakua kafundishwa na watoto wenzake
Sasa nenda nae mdogomdogo mfanye ajiamini na control matendo yake yote ya kike kike. Mfanyishe kazi za kidume dume. Mara zote wanaofyokolewa hujifanya mafundi wa mapishi na kukaa jikoni kwingi sitisha upuuzi huo.
Binafsi nshawahi kuishi nyumba moja na dogo wa hivyo ikatokea siku moja nimelala usingizini kumbe chalii alikuwa na mazoea ya kuchezea dushe langu nikiwa mbonji! nilipo mstukia basi tukaanza upelelezi kumbe alishaharibiwa kitambo na huko nje maraia walishajua kitambo sana nyendo za dogo! Aisee tulipaniki tukamfumua sana wanaume wote pale home... was too late dogo alitoroka akahamia magomeni na ruti za zenji msa zikaanzia hapo na leo hii ni shoga maarufu hapo jijini!!
Kifupi mama yake ndo alimharibu kumzoesha kwenda nae kwenye vikao vya kike, kumtuma kazi za kike, kuoga nae na kutumia muda mwingi kwenye dressing table wakijipodoa!
Pambana abadilike ila nenda pole!
 
mkuu huyo hawezi kuacha sana sana atakuja kukutia aibu zaidi huko mbele safari.....mti kwenye gari washa gari endesha mpeleke mpakani mwa kigoma na Kongo akiwa hana hata shillings mfukoni alafu muache huko huko wewe rudi uendelee na maisha yako
 
Pia ujaribu kumcheki urijali wake upoje, unamvua nguo zote wewe na yeye chumbani kisha unamwamuru akohoe, ukiona korodani zake zinapanda juu jua utaweza kumdhibiti na atabadilika kabisa usihofu, ila epukana na ukali kupita kiasi, na kama bado hujawaambia hao ndugu zako asiwaambie kwanza kwani hiyo ni nyenzo muhimu ya kumbana kisaikolojia na yeye kuwa mtumwa kwako na hatimae kuacha kabisa, kwani kila ukimwona anakusumbua unamtishia kutoa siri yake hiyo hivyo ataacha haraka ili siri yake hiyo isijulikane kwa ndugu wengi. Pole sana!
 
kashanambia jamaa ambae anamfanyi huo mchzo na nataka nimfute niongee nae nimwambie kwa nini unamuharibu mdogo wangu ikibidi nimfunge au nimtaftie kesi aende jela naumia sana
pole sana mkuu mwenyezi mungu akupe ujasiri katika kipindi hiki kigumu
 
Ugonjwa wa hisia hutibiwa kwa hisia NA huwezi kulibadili hili....

usitumie nguvu nyingi sana kwa kuwa hilo sio suluhisho ( iruhusu akili yako ifanye kazi zaidi kuliko hisia zako ambazo ndizo zinazokufanya uchukue maamuzi magumu lakini yenye usahihi mdogo)..

Mfanye aikatae hali ile toka ndani yake yaani awe NA uwezo wa kupambana nayo yeye binafsi NA si kutegemea ulinzi wako (hapa ushauri wa kindugu NA kiroho utaihtajika zaidi)

KUMBUKA
hakuna kitu kigumu kama kupingana NA nafsi yake mwenyewe hivyo umpe muda pia..
Fikiria kama mtu angekukataza kuwa NA matamanio ya kingono kwa wanawake !!!!...
Ni ngumu hivyo, jua nae yupo katika mtihani huu..MPE MUDA WA KUTOSHA
 
Pole Sana ni janga hili.... No pia kuna mshakaji anakula vishoga nimechunguza kwa asilimia Mia nimethibitisha.... Proces y'all uchunguzi needy no ilihitimishwa no Kauli take Alaska msg no Mahala alipoenda ... Yani 100% accurate...... Dunia kizunguzungu.... Af ana tabia ya kupiga picha za uchi Nilihack phone wrap n laptop... Hadi pica Tani balaa

Sent from my TECNO-Y3+ using JamiiForums mobile app
 
Endelea kumpiga akuvizie umelala akunyoroshe na umatemate. Uamke unae nta apo kati

Toka lini soluhisho ikawa kumpiga dogo? Apo a mm sawa na kumpiga mwanamke kisa wew masculine...

Koma, ka uwez kaa nae chin ukaongea nae mridishe kwa mamake na babake. Tena ukome
 
mkuu huyo hawezi kuacha sana sana atakuja kukutia aibu zaidi huko mbele safari.....mti kwenye gari washa gari endesha mpeleke mpakani mwa kigoma na Kongo akiwa hana hata shillings mfukoni alafu muache huko huko wewe rudi uendelee na maisha yako
tafathali mkuuu
 
Pia ujaribu kumcheki urijali wake upoje, unamvua nguo zote wewe na yeye chumbani kisha unamwamuru akohoe, ukiona korodani zake zinapanda juu jua utaweza kumdhibiti na atabadilika kabisa usihofu, ila epukana na ukali kupita kiasi, na kama bado hujawaambia hao ndugu zako asiwaambie kwanza kwani hiyo ni nyenzo muhimu ya kumbana kisaikolojia na yeye kuwa mtumwa kwako na hatimae kuacha kabisa, kwani kila ukimwona anakusumbua unamtishia kutoa siri yake hiyo hivyo ataacha haraka ili siri yake hiyo isijulikane kwa ndugu wengi. Pole sana!
bado sijamwambia mtu yeyote mkuu ntajaribu ushauri wako huu mzuri asanante
 
Endelea kumpiga akuvizie umelala akunyoroshe na umatemate. Uamke unae nta apo kati

Toka lini soluhisho ikawa kumpiga dogo? Apo a mm sawa na kumpiga mwanamke kisa wew masculine...

Koma, ka uwez kaa nae chin ukaongea nae mridishe kwa mamake na babake. Tena ukome
nilinpiga pale tyuu nilipokua namuambia aseme ukweli akwa anagoma so ikabidi nimuwashe ndo akafunguka kila kitu
 
Hizi shule za boarding zinatuharibia sana watoto iwapo aliwahi kua katika mazingira ya bweni yaweza kua moja kati ya chanzo pia.
Kimsingi sioni sababu ya kumpiga mdogo wako, sababu kupiga haito msaidia wala kumbadilisha, zaidi kumpiga inaweza ikakutia matatani au kupelekea dogo aka amua kutoroka hata hapo kwako.
Nakushauri waeleze wazazi wenu na maramoja dogo mpeleke kwenye tiba kabla haja haribikiwa zaidi ya hapo.
 
Back
Top Bottom