Mrejesho: Nina wasiwasi na huyu dogo

Mrejesho: Nina wasiwasi na huyu dogo

Mm nadhani mpeleke hospital na inaonekana anaona aibu watu wengine kujua nyumbani usiwaambie kwanza sbb wakishajua wote akiendelea hata kuwa na uoga sbb hakuna mtu nyumbani hajui watu wa kumfanyia caunseling ni muhimu hapo na pia kujua sbb kwa nn aliamua kufanya na alianza lini ili uweze kumzibiti pia ukimbana sana hata wadada hatajua ladha yao atabaki kujua utamu wa mwanaume tu
 
pole sana,ila ukiwafatilia huwa wana kero kweli.nakumbuka zamani huyo shoga bilali aliwahi kumjibu babaake `´nikae nyumbani utanifira wewe?.
baba mtu akanywea
 
wana JF leo nimeona nilete marejesho

Nasikitika sana kuwa mdogo wangu anajihusisha na mambo ya kishoga yaani mdogo wangu mimi ni shoga daaaah naumia sana nilifanya uchunguzi wa kina nikagundua anafanya na nimemuuliza akanambia ni kweli ila baada ya kumnasa sana vibao na ngumi nyingi.Na kaniomba sana nisimwambie mtu yeyote yule ata bro wangu mkubwa ila lazima nimwambie father na mother na broh nina mengi saaaana ya kueleza ila haya yanatosha sitaki kuwachosha. Nimempiga saaana tena saana .


Nilichoamua mimi kaka yake ambae ndo namsomesha na ndo naishi nae
kuwa nitampeleka hosptali wakamsafishe wakamtoe uchafu wote yaani apigwa bomba
shuleni nitakua nampeleka mimi kila siku na kwenda kumchukua mimi wakati akitoka ata kama ntachelewa job ntamwambia mwalimu wake ahakikishe mda wote yuko shuleni na vipindi vyote ahudhurie akikosa kipindi anambie nimnyooshe na nitakua namlipa mwalimu hela kwa ajli ya kumchunga. shule yao nia day na bweni so ni rahisi kukaa mpka join wakati nkitoka job.
Nyumbani ni marufuku kutoka kwenda popote labda nitoke nae mimi la sivyo atakaa nyumbani bila kutoka hyo kazi nimempa mlinzi

naomba ushauri wako kuhusu huyo dogo .Ushauri wako ni muhimu sana kwangu

AKHSANTE
Uuuwii. ... Mungu akutie nguvu uweze kumrudsha ktk uanamme[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24]
 
Mkuu Mimi naona ni bora aendelee vile vile alivyoamua kufanya kuliko kumhamisha shule kule itakuwa ni rahisi kwake kuendeleza hiyo tabia huyu kijana anatakiwa asiwe na upenyo wa kutoka wala kuwa na muda na wenzie kwa kipindi Fulani Mungu amsaidie na kumuondolea janga hilo alilolizusha pia abanwe hadi awataje wanaona mshughulikia ili iwe rahisi kwa yeye kupewa ushauri wa kuwaepuka
shule hawez kusoma bila company kk. Ni kujarbu kufuta mazingira yote yaliyomfikisha hapo apate refresh na mwanzo mpya
 
Endelea kumpiga akuvizie umelala akunyoroshe na umatemate. Uamke unae nta apo kati

Toka lini soluhisho ikawa kumpiga dogo? Apo a mm sawa na kumpiga mwanamke kisa wew masculine...

Koma, ka uwez kaa nae chin ukaongea nae mridishe kwa mamake na babake. Tena ukome
Mhhhh aibu naona mimi
 
Maskini weee yani nyie mnajua mtoto kaenda shule kumbe yupo sehem nyingene ameshika ukuta umkanye pia mctiri maana nyie wote kaka zake mtaonekana mashoga
 
wana JF leo nimeona nilete marejesho

Nasikitika sana kuwa mdogo wangu anajihusisha na mambo ya kishoga yaani mdogo wangu mimi ni shoga daaaah naumia sana nilifanya uchunguzi wa kina nikagundua anafanya na nimemuuliza akanambia ni kweli ila baada ya kumnasa sana vibao na ngumi nyingi.Na kaniomba sana nisimwambie mtu yeyote yule ata bro wangu mkubwa ila lazima nimwambie father na mother na broh nina mengi saaaana ya kueleza ila haya yanatosha sitaki kuwachosha. Nimempiga saaana tena saana .


Nilichoamua mimi kaka yake ambae ndo namsomesha na ndo naishi nae
kuwa nitampeleka hosptali wakamsafishe wakamtoe uchafu wote yaani apigwa bomba
shuleni nitakua nampeleka mimi kila siku na kwenda kumchukua mimi wakati akitoka ata kama ntachelewa job ntamwambia mwalimu wake ahakikishe mda wote yuko shuleni na vipindi vyote ahudhurie akikosa kipindi anambie nimnyooshe na nitakua namlipa mwalimu hela kwa ajli ya kumchunga. shule yao nia day na bweni so ni rahisi kukaa mpka join wakati nkitoka job.
Nyumbani ni marufuku kutoka kwenda popote labda nitoke nae mimi la sivyo atakaa nyumbani bila kutoka hyo kazi nimempa mlinzi

naomba ushauri wako kuhusu huyo dogo .Ushauri wako ni muhimu sana kwangu

AKHSANTE
Nimeufuatilia Uzi huu hakika inasikitisha sana,pole sana ndugu yangu kwa masaibu hayo,kiukweki hapo ndipo kama kama jamii inabidi tukubali kuwa kwenye jamii yetu tumeingiliwa na hili janga la mapenzi ya jinsia moja,sio wanaume tu bali hata wanawake,hatua uliyochukua yakujua ukweli ni sahihi sana,na kwakua umri wake bado mdogo ilikuwa ni approach sahii sana,assumption yangu nini kilichotokea kwa huyo Dogo hadi kuanza kujifunza mambo hayo ni kama ifuatavyo,1,Mtoto huyo ktk makuzi yake alikuwa akicheza na watoto wanaomzidi umri kwa mda mrefu na hiyo inaweza kupelekea kuwa sehem ya mazoezi ya hao watoto ktk kujifunza kutafuta hisia zao halisi za kingono hivyo yeye bila kijitambua akawa muanga wa hali hiyo,2.Kijana huyo alipofika umri wa kubarehe alikosa ukaribu wa jinsia tofauti hivyo kujikuta ktk hisia za mapenzi lkn hawezi kuwa na jinsia tofauti ikatokea wanaojua hali hiyo wakamshawishi na kujikuta anatumika kumaliza hisia zake kinyume na maumbile 3.ktk umri huo alionao sasa alijikuta na kampani ya watu wazima ambao wanafanya mapenzi ya jinsia moja tena yawezekana walimwanzia kwa yeye kuwaingilia hao watu lkn kumbe yeye ndio mlengwa wa kuingiliwa Wa kudumu 4.Yawezekana mdogo wako alianzishiwa kwakubakwa na hao mafirauni na akashindwa kueleza na hii inatokana na kupewa ofa za pombe,lkn hali ile akuipenda lkn kadri siku zilivyokwenda akakubali kuendeleza mchezo huo Nini chakufanya ili kumnusuru huyo bwana mdogo kutoka huko 1.Kupiga punyeto ni moja ya njia salama sana kwa vijana wadogo kumaliza haja zao kabla ya kuingia ktk mahusiano ya kimapenzi,najua watu wengi watanishangaa kutoa wazo hilo lkn tafiti zinaonyesha karibu 80% ya wanaume rijali wamefanya punyeto kijitimizia haja zao na Leo wako na wake na maisha yanaendelea 2.Zungumza nae na kuwa rafiki yake wa karibu muonyesha upande wa pili Wa dunia hasa ya jinsia tofauti 3.Mpongeze kwa jambo jema analolifanya vizuri hiyo itaonyesha unampa credit kwa mambo mazur anayoyafanya,ataongeza kujiamini,4 mpeleke hospital in baada ya yeye kuridhia usimlazimishe itoke kinywani mwake,5,Mwambie kila binadam ukosea lkn kuna nafasi ya kujirekebisha hakika atabadilika lkn zoezi hili laweza chukua hata miezi sita NB Elimu ya bure Mwanaume au mwanamke akiingiliwa kinyume na maumbile bila kinga ,manii huwa hazina njia ya kutokea badala yake utengeneza fangus kwenye kuta za haja kubwa na hizo fungus ushambulia ngozi laini ya utumbo mpana na kufanya MTU huyo kuisi au kutamani kukunwa hivyo umjengea MTU hisia za kuingiliwa kila wakati hivyo basi kunatiba ya hizo fungus Pole sana na usikate tamaa Siku.moja mdogo wako atakuwa mwanaume kamili
 
Hata ukimpa kazi mlinzi endelea kumchunguza maana anaweza hata akamshawishi mlinzi awe anamgegeda yeye kutokana na wewe kumbana sana.
 
Ingekuwa miaka ya zamani familia inamuua, isiwe Disgrace and Disrespectful to the family.
 
wana JF leo nimeona nilete marejesho

Nasikitika sana kuwa mdogo wangu anajihusisha na mambo ya kishoga yaani mdogo wangu mimi ni shoga daaaah naumia sana nilifanya uchunguzi wa kina nikagundua anafanya na nimemuuliza akanambia ni kweli ila baada ya kumnasa sana vibao na ngumi nyingi.Na kaniomba sana nisimwambie mtu yeyote yule ata bro wangu mkubwa ila lazima nimwambie father na mother na broh nina mengi saaaana ya kueleza ila haya yanatosha sitaki kuwachosha. Nimempiga saaana tena saana .


Nilichoamua mimi kaka yake ambae ndo namsomesha na ndo naishi nae
kuwa nitampeleka hosptali wakamsafishe wakamtoe uchafu wote yaani apigwa bomba
shuleni nitakua nampeleka mimi kila siku na kwenda kumchukua mimi wakati akitoka ata kama ntachelewa job ntamwambia mwalimu wake ahakikishe mda wote yuko shuleni na vipindi vyote ahudhurie akikosa kipindi anambie nimnyooshe na nitakua namlipa mwalimu hela kwa ajli ya kumchunga. shule yao nia day na bweni so ni rahisi kukaa mpka join wakati nkitoka job.
Nyumbani ni marufuku kutoka kwenda popote labda nitoke nae mimi la sivyo atakaa nyumbani bila kutoka hyo kazi nimempa mlinzi

naomba ushauri wako kuhusu huyo dogo .Ushauri wako ni muhimu sana kwangu

AKHSANTE

Fanya hivi wampige bomba wamtoe uchafu then mwamishe shule mpeleke shule nyingne ata vijijini akae uko mkoa tofauti kama ana kaa dar mtoe maana dar inaongoza kuaribu vijana
 
Nimeufuatilia Uzi huu hakika inasikitisha sana,pole sana ndugu yangu kwa masaibu hayo,kiukweki hapo ndipo kama kama jamii inabidi tukubali kuwa kwenye jamii yetu tumeingiliwa na hili janga la mapenzi ya jinsia moja,sio wanaume tu bali hata wanawake,hatua uliyochukua yakujua ukweli ni sahihi sana,na kwakua umri wake bado mdogo ilikuwa ni approach sahii sana,assumption yangu nini kilichotokea kwa huyo Dogo hadi kuanza kujifunza mambo hayo ni kama ifuatavyo,1,Mtoto huyo ktk makuzi yake alikuwa akicheza na watoto wanaomzidi umri kwa mda mrefu na hiyo inaweza kupelekea kuwa sehem ya mazoezi ya hao watoto ktk kujifunza kutafuta hisia zao halisi za kingono hivyo yeye bila kijitambua akawa muanga wa hali hiyo,2.Kijana huyo alipofika umri wa kubarehe alikosa ukaribu wa jinsia tofauti hivyo kujikuta ktk hisia za mapenzi lkn hawezi kuwa na jinsia tofauti ikatokea wanaojua hali hiyo wakamshawishi na kujikuta anatumika kumaliza hisia zake kinyume na maumbile 3.ktk umri huo alionao sasa alijikuta na kampani ya watu wazima ambao wanafanya mapenzi ya jinsia moja tena yawezekana walimwanzia kwa yeye kuwaingilia hao watu lkn kumbe yeye ndio mlengwa wa kuingiliwa Wa kudumu 4.Yawezekana mdogo wako alianzishiwa kwakubakwa na hao mafirauni na akashindwa kueleza na hii inatokana na kupewa ofa za pombe,lkn hali ile akuipenda lkn kadri siku zilivyokwenda akakubali kuendeleza mchezo huo Nini chakufanya ili kumnusuru huyo bwana mdogo kutoka huko 1.Kupiga punyeto ni moja ya njia salama sana kwa vijana wadogo kumaliza haja zao kabla ya kuingia ktk mahusiano ya kimapenzi,najua watu wengi watanishangaa kutoa wazo hilo lkn tafiti zinaonyesha karibu 80% ya wanaume rijali wamefanya punyeto kijitimizia haja zao na Leo wako na wake na maisha yanaendelea 2.Zungumza nae na kuwa rafiki yake wa karibu muonyesha upande wa pili Wa dunia hasa ya jinsia tofauti 3.Mpongeze kwa jambo jema analolifanya vizuri hiyo itaonyesha unampa credit kwa mambo mazur anayoyafanya,ataongeza kujiamini,4 mpeleke hospital in baada ya yeye kuridhia usimlazimishe itoke kinywani mwake,5,Mwambie kila binadam ukosea lkn kuna nafasi ya kujirekebisha hakika atabadilika lkn zoezi hili laweza chukua hata miezi sita NB Elimu ya bure Mwanaume au mwanamke akiingiliwa kinyume na maumbile bila kinga ,manii huwa hazina njia ya kutokea badala yake utengeneza fangus kwenye kuta za haja kubwa na hizo fungus ushambulia ngozi laini ya utumbo mpana na kufanya MTU huyo kuisi au kutamani kukunwa hivyo umjengea MTU hisia za kuingiliwa kila wakati hivyo basi kunatiba ya hizo fungus Pole sana na usikate tamaa Siku.moja mdogo wako atakuwa mwanaume kamili
asantee kwa ushauri mkuu dogo alinza huu mchezo akiwa form 2anavyodai yeye
 
Fanya hivi wampige bomba wamtoe uchafu then mwamishe shule mpeleke shule nyingne ata vijijini akae uko mkoa tofauti kama ana kaa dar mtoe maana dar inaongoza kuaribu vijana
anakaa dar nataka nimepeleke shule iliyoko porini kabisaa akasome huko
 
anavyodai kuna mwenzake alimfundishaa
sema mimi sitaki kumuhoji sana maana atazidi kuniudhi shamjua mtuhumiwa wangu na shaujua ukweli inatoshaa hapa naanza kumrudisha kwenye hali yake ya uanaume ndo kazi niliykua nayo
 
Back
Top Bottom