Mrejesho: Safari yangu ya kwenda kulima mkoa wa Katavi - Wilaya ya Tanganyika, kijiji cha Mwese 4

Wakuu huku Kuna mvua kinoma nilitoka lubalisi nikasogea mwese now Niko mpanda mahitaji nilifata mvua za kupandia zina gonga radi balaa
All the best soldier 🪖!! Piga kazi mkuu. Usisahau kuweka na picha za pande hzo.
 
Wazee wa mpanda/katavi naomba connection mawasiliano ya wauza boda pale mpanda town na shida ya sanlg nataka kujua bei yao
 
Good naration chief,very inspired..I have learned a new thing,Thank you!! Mwese naifahamu vizur maana nimeishi Katavi for 3yrs na Mwese kilikua pia ni kituo changu cha kazi.
Great sir . .......mei Mungu akipenda nitarudi huko tena
 
Wakuu wazee wa pori kwa pori naombeni Bei ya maharage hapo mwese
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…