Josse kongolo
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 449
- 990
Naweka kambi hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
All the best soldier 🪖!! Piga kazi mkuu. Usisahau kuweka na picha za pande hzo.Wakuu huku Kuna mvua kinoma nilitoka lubalisi nikasogea mwese now Niko mpanda mahitaji nilifata mvua za kupandia zina gonga radi balaa
Amina mkuu nitafanya hivo Kwa Sasa mvua Kali sana huku radi Ina gonga balaaa muda unaona jua na radi Ina piga humo humoAll the best soldier 🪖!! Piga kazi mkuu. Usisahau kuweka na picha za pande hzo.
Uko mwese namba ngap. Mkuu?? Juz nilikuwa kwenye mnada hapo namba nne na jmc mvua inanyesha nilikuwa namba nne hapoTutafutane nipo mwese mkuu
Ntakucheki mkuu Kuna nguruwe natafuta huko ....huku chini pumba debe 500Tutafutane nipo mwese mkuu
pumba debe mia5 ??Ntakucheki mkuu Kuna nguruwe natafuta huko ....huku chini pumba debe 500
Yes mkuu debe 500 muda husuka Hadi 200 ... mtandao huku shida sana ukichanganya na mvua za huko ngumu kuwa uwanjani maana ndo Kuna mtandaopumba debe mia5 ??
Sio mchezo debe Tshs 500, gharama za ufugaji zitakuwa chini sana upande wa chakula. Endelea kupambana 👍🏾Yes mkuu debe 500 muda husuka Hadi 200 ... mtandao huku shida sana ukichanganya na mvua za huko ngumu kuwa uwanjani maana ndo Kuna mtandao
nmekufata inboox kaka ebu nichekYes mkuu debe 500 muda husuka Hadi 200 ... mtandao huku shida sana ukichanganya na mvua za huko ngumu kuwa uwanjani maana ndo Kuna mtandao
Mkuu niwie radhi tigo haikamati huku waliofika wanaelewa natumia wif ya mtu wa halotel ntakupa namba ya mdau wa huku ya halo
Naomba nipate mawasiliano yako mkuuWakuu huku Kuna mvua kinoma nilitoka lubalisi nikasogea mwese now Niko mpanda mahitaji nilifata mvua za kupandia zina gonga radi balaa
Nimetoka huko mkuuu Jana ...........sio mahali pakupotea hakuna nomaNaomba nipate mawasiliano yako mkuu
poa poaMkuu niwie radhi tigo haikamati huku waliofika wanaelewa natumia wif ya mtu wa halotel ntakupa namba ya mdau wa huku ya halo
Tuko pamoja
Great sir . .......mei Mungu akipenda nitarudi huko tenaGood naration chief,very inspired..I have learned a new thing,Thank you!! Mwese naifahamu vizur maana nimeishi Katavi for 3yrs na Mwese kilikua pia ni kituo changu cha kazi.