Mrejesho: Safari yangu ya kwenda kulima mkoa wa Katavi - Wilaya ya Tanganyika, kijiji cha Mwese 4

Jifunafu asante sana kwa story yako. Najifunza mengi. Ushauri: naona kama unatumua muda mrefu sana kuelezea matukio kw undani hivyo inaweza kuchukuwa muda wako kuelezea mambo yote. Jaribu kusimulia maeneo muhimu bila ku-compromise utamu wa simulizi.
 
Radi zipo Kila mahali, lakini kama hauna baya na mtu haikufanyi chochote. Lakini kunavitu vya kukinga kama imekuja Kwa ubaya inapita kushoto.
Kule ni kali tokana na uwepo wa madini ya "Blue Tommerin". Tulikuwa tukiendaga na Pinda, tukuona Mawingu tu tunamkimbiza haraka haraka kumtoa ukanda ule wa Mwese.
 

 




Cookie
Comment No. 108, second para, nimeshindwa kui quote..!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…