Mrejesho: Safari yangu ya kwenda kulima mkoa wa Katavi - Wilaya ya Tanganyika, kijiji cha Mwese 4

Mkuu we upo huko kijijini?
Jing'olongo.
 
Mzee baba Jifunafu

Umeupiga mwingi kwa kutuletea hamasa kwa vitendo

Nna swali moja tuu

Ulilima ekari 3 ukavuna gunia 41,
Mbona ni kidogo sana?

Changamoto ilikuwa nini
Changamoto ni kwamba, kumbuka sijatumia mbolea yoyote ndugu, kwaiyo ningekuwa na uwezo wa kuweka mbolea hakika ningepata mahindi mengi sana, Kama nilivyo elezea mwanzo mtaji wangu ulikuwa ni mdogo sana, hivyo ningeweka na gharama za mbolea ningekwama vitu vingine. Kwakile nilichokipata sisemi vibaya kwangu niliupiga mwingi.
 
Wakondya bhwafuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…