much know
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 11,461
- 17,183
Duu huyu ndo boss anayewafanyia vettingUna taka msmshahara shekhe njoo mombasa
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duu huyu ndo boss anayewafanyia vettingUna taka msmshahara shekhe njoo mombasa
Kaandika kama yeye na sio kama wewe uonavyo,lengo ni kufikifisha ujumbe na umeeleweka.Umeambiwa ukweli ujifunze kuandika unaleta ujuaji umlipe amekwambia anataka pesa?
Hata ilo tangazo la ajira inaonesha nyinyi maboss ni vichwa maji
Halafu wanatumia majina bandia..........z[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tatizo la watu wa humu mna mdomo sana na sifa nyingi
Umesomeka, mkuu ila hakuna kazi unaipata paspo vetting naisi hujui maana ya vetting. Kazi hii ni kazi hutaki kufanyiwa vetting kakae na mkeo na hata yeye akiwa akili hatokubali uwe bae bira vetting tatzo nmezoea sjui vetting au mmekalili kuwa vetting udanywa na hao basi subilia wao
Bora umemwambia ukweliMkuu jifunze kuandika kwanza kabla ya kutukana vijana wa Jf.
Umewatukana mpa JF walioruhusu nicknames humuNitoe elimu kidogo hapa kwenu mliopo jf na mnakosa fursa kwa sababu ya uwoga wenu huo ni ujinga na upumbavu wa Hali ya juu Sanaa.
Kwa Nini upo jf na jina bandia?unatumia jina bandia Ili utukane mtu uishi kwa mashaka?kama unachokiandika jf ni ukweli mtupu inashida gani na mfumo WA nchi hii? Hivi ujui kuishi maisha ya wasi wasi unapunguza siku za kuishi?hivi unajua maana ya jf au upo upo tu?
nenda "shure" na jifunze kutochanganya r na llire tangazo niliroliweka
Mkuu mimi nimesoma hadi katikati ya andiko lako.Nipo tayari kukulipa kwa kazi mbili,moja kunifundisha kuandika pili........
Hajui tofauti kati ya r na l halafu ndio meneja huyo wa kampuni fulani na inamtegemea,itakuwa ni meneja wa zile kampuni za kutembeza vyomboeeeehee yaani wewe usiojua kutofautisha r na l pia unawatukana wenzio.
Nani huyo bwege wa kuomba kazi kwako, hebu pita huko
Mwambie asitufokeeMkuu jifunze kuandika kwanza kabla ya kutukana vijana wa Jf.
Ndg yangu sina tatizo na wewe lakini mtu akisoma mwandiko wa hovyo hovyo anakosa imani na wewe.Nipo tayari kukulipa kwa kazi mbili,moja kunifundisha kuandika pili........
Wakurya wanahusikaje tena mkuuWe ni mkurya? ,.......