Mrejesho wa yale niliyosema kuhusu kijana wa hovyo Majaliwa aliyeidanganya nchi na wasomi wake

Huyo jamaa uliyemhoji hana tofauti na shabani kaoneka, roho ilimuuma kuwa ameshinda ila hapati endorsement za maaana wakati aliyempiga mashavu kibao kila siku interview.

Bahati nzuri nnachopenda watanzania wenzangu, wakimshikilia mtu hata umsagie kunguni buku na kuleta shujaa wako hawageuzi maneno wataendelea kumpa mashavu aliyetrend first.

Tupunguze roho mbaya.
 
Ushujaa wa majaliwa ni kuwabeba abiria kutoka kwenye maji kuwapeleka nchi kavu na hakuwa peke yake alikua na wavuvi wenzie,pia mlango hajafungua yeye kama ilivyodaiwa awali kuwa amefungua yeye
 
Kwa hiyo nawe unaamini kabisa hayo maelezo ya mtu kusema alimuomba kijana kuingia ndani ya ndege ili kuokoa mabegi?

Kwa hiyo Majaliwa akaokoa mpaka mabegi ya abiria?

Bongo sihami ng'oo.
 
huo ni uzushi wenye lengo la kuficha uzembe wa wafanyakazi wa Uwanja wa ndege Bukoba.
vyovyote itakavyo kuwa kuna uzembe wa hali ya juu ambao haupaswi kufumbiwa macho.

Majaliwa na kundi lake la uvuvi walijitahidi kufanya walicho kifanya lkn wafanyakazi wa Uwanja wa ndege Bukoba walibaki kushangaa!!

hata kama mlango ulifunguliwa na abiria lakini pia majaliwa na wavuvi wenzake walihangaika kujaribu kufungua, huenda jitihada za pande mbili zilifanikisha mlango kufunguka. wote walifanya jitihada abiria na kundi la Majaliwa.

Ushujaa wa Majaliwa unabaki palepale, kwani alithubutu kufanya alicho kifanya kuokoa maisha ya wengine.., ila ushujaa wake umekuwa mwiba mkali kwa wenye dhamana walio chelewa kufika kwenye uokoaji, nadhani hao wanatamani hata majaliwa angekufa kabisaa!!
 
Hao abiria wapumbavu, na kuna uwezekano ni mashoga.
Kila mmoja anajifanya yeye ndiye alikuwa kinara wa uokoaji.
Sisi tunamjua Majaliwa
 
Kweli kabisa aisee
 
Hao abiria wapumbavu, na kuna uwezekano ni mashoga.
Kila mmoja anajifanya yeye ndiye alikuwa kinara wa uokoaji.
Sisi tunamjua Majaliwa
Hivi una habari kuwa, Majaliwa naye alikuwa miongoni mwa watu waliookolewa?
Majaliwa naye anawashukuru watu asiowajua kwa kuweza kumuokoa!
 
Ni sawa walitoka nje ya ndege kwa juhudi zao, na vipi huko nchi kavu walifikaje? Bila msaada wa kina Majaliwa wangekaa huko kwenye mabawa ya ndege mpk wangezamia hapo hapo.
 
Hao waliokuwa abiria bado wamepagawa, tuwape muda tu.

Hii ishu sio yakushabikia, itavunja watu moyo wa kuokoa watu ajali zikitokea.

Inakuwa kama ile kukitokea ajali ukajipendekeza kumsaidia mhanga polisi wanakung'ang'ania wewe hadi ukome.

Tuangalie madhara ya hili tunalolichochea.

Majaliwa kajitahidi kaonesha utu, bado watu wajinga hawataki, alafu unakuta wanaenda ibadani kutoa shukrani kwa kunusurika kifo.

Bongo nyoso!.
 
Majaliwa ilikuwa ni plan ya damage control.

Lasivyo angejiuzulu mtu
Bongo mtu ajiuzulu kwa jambo lisilomgusa moja kwa moja?? Haiwezekani

Hakukuwa na sababu ya kutengeneza damage control ili kuepusha kujiuzulu. Hiyo ndege hata kama muongozo angekuwa ni waziri wa ujenzi asingeweza kujiuzulu na hatungekuwa na cha kumfanya, sembuse kwa mazingira hayo ya ajali ndio itengenezwe damage control kuepusha mtu kujiuzulu!!!
 
Tutaongea mengi sana kuhusu ile ajali. Lakini ndio imeshatoka hiyo!
Waliotakiwa kuwajibika/kuwajibishwa kutokana na kushindwa kutimiza wajibu wao ili kuzuia ajali isitokee au kuokoa abiria wote waliokuwamo kwenye ndege bado wanadunda.
"No body cares". Inasikitisha sana.
 
Una akili kubwa sana; naomba msamaha kwa dislike ambayo niliwahi kukupa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…