Ushujaa wa majaliwa ni kuwabeba abiria kutoka kwenye maji kuwapeleka nchi kavu na hakuwa peke yake alikua na wavuvi wenzie,pia mlango hajafungua yeye kama ilivyodaiwa awali kuwa amefungua yeyeINASIKITISHA SANA TENA SANA 😭
WALIOOKOLEWA WAKANA KUSAIDIWA NA MAJALIWA, WADAI WALITUMIA JUHUDI ZAO KUJIOKOA.
Furaha ya Majaliwa Shujaa aliyeokoa watu kwe ajali ya ndege ya Precision Air iliyotokea Bukoba mkoani Kagera huenda ikageuka huzuni baada ya abiria waliookolewa kwenye ajali hiyo kudai walitumia juhudi zao wenyewe kufungua mlango na kisha kutoka.
Akizungumza mmoja wa abiria hao amesema yeye ndiye angeweza kuwa kinara wa tukio hilo kwani baada ya ndege kutua kwenye maji, yeye na muhudumu mmoja wa ndege hiyo waling'ang'ana kufanya jitihada za kufungua mlango wakati huo mitambo ya umeme ilikuwa imezima na mlango ulikuwa umejilock.
"Baada ya ndege kutua kwenye maji nilianza kutapatapa kutafuta mlango wa kutokea, haikuwa rahisi lakini kwakuwa mimi nilikuwa viti vya nyuma nilijitahidi kutafuta namna ya kutokea, tulikuwa tunaenda kufa, nikawambia wenzangu "kwahiyo tunakufa huku tunajiona" hapo maji yalikuwa yamejaa, lakini baadae niliona mlango unajifungua kidogo baada ya muhudumu wa ndege kuuchokonoa kwa chini ndipo nilipotumia upenyo ule kuusukuma mlango nikatoka nje"
Abiria huyo ameongeza kwa kusema "baada ya mimi kutoka nilianza kuwaokoa wenzangu, na kila aliyekuwa anatoka alikuwa anakaa juu ya ndege maana maboti ya wavuvi yalikuwa bado kufika, nilijawa na ujasiri mkubwa ingawa hali yangu ilikuwa mbaya, nikawa nawavuta watu kuwatoa nje akiwemo mama mmoja na mwanae ambao pia niliwaokoa mimi nikisaidiana na mchina, baadae watu waliisha kwenye ndege nikajua wote wametoka ndipo wavuvi walipoanza kuja kutuchukua kutupeleka hospitali";- ameeleza mmoja wa waliookolewa.
Kwa hiyo nawe unaamini kabisa hayo maelezo ya mtu kusema alimuomba kijana kuingia ndani ya ndege ili kuokoa mabegi?Stories nyiiiiingi. Mwingine anasema yeye afungua mlango akakutana na kijana mdogo akamwomba aingie kwenye ndege akusanye mabegi, mwingine anasema alipitia bawa lilipokatikia. Kama umeme ulikata na lock inategemea umeme na Majaliwa anasema aligonga kwa kasia kuondoa lock na mwandishi anasema mhudumu alichokonoa mlango ukafunguka na kuna abiria anasema kuna kijana nilimwomba aingie ndani kuokoa mabegi, na majaliwa anasema nikaita wenzangu wakanipatia kamba niende kuifunga sehemu ili tuvute ndege na kwamba kuna waokoaji walipoteza uhai wakijaribu kufanya uokoaji. Kwa nini tunapenda kupoteza hii picha ya Majaliwa na wenzake waliozama hadi ndani hadi mmoja wapo akapoteza maisha?
Kweli kabisa aiseehuo ni uzushi wenye lengo la kuficha uzembe wa wafanyakazi wa Uwanja wa ndege Bukoba.
vyovyote itakavyo kuwa kuna uzembe wa hali ya juu ambao haupaswi kufumbiwa macho.
Majaliwa na kundi lake la uvuvi walijitahidi kufanya walicho kifanya lkn wafanyakazi wa Uwanja wa ndege Bukoba walibaki kushangaa!!
🤣🤣🤣🤣Mwenzake
Hivi una habari kuwa, Majaliwa naye alikuwa miongoni mwa watu waliookolewa?Hao abiria wapumbavu, na kuna uwezekano ni mashoga.
Kila mmoja anajifanya yeye ndiye alikuwa kinara wa uokoaji.
Sisi tunamjua Majaliwa
Bongo mtu ajiuzulu kwa jambo lisilomgusa moja kwa moja?? HaiwezekaniMajaliwa ilikuwa ni plan ya damage control.
Lasivyo angejiuzulu mtu
Una akili kubwa sana; naomba msamaha kwa dislike ambayo niliwahi kukupaINASIKITISHA SANA TENA SANA 😭
WALIOOKOLEWA WAKANA KUSAIDIWA NA MAJALIWA, WADAI WALITUMIA JUHUDI ZAO KUJIOKOA.
Furaha ya Majaliwa Shujaa aliyeokoa watu kwe ajali ya ndege ya Precision Air iliyotokea Bukoba mkoani Kagera huenda ikageuka huzuni baada ya abiria waliookolewa kwenye ajali hiyo kudai walitumia juhudi zao wenyewe kufungua mlango na kisha kutoka.
Akizungumza mmoja wa abiria hao amesema yeye ndiye angeweza kuwa kinara wa tukio hilo kwani baada ya ndege kutua kwenye maji, yeye na muhudumu mmoja wa ndege hiyo waling'ang'ana kufanya jitihada za kufungua mlango wakati huo mitambo ya umeme ilikuwa imezima na mlango ulikuwa umejilock.
"Baada ya ndege kutua kwenye maji nilianza kutapatapa kutafuta mlango wa kutokea, haikuwa rahisi lakini kwakuwa mimi nilikuwa viti vya nyuma nilijitahidi kutafuta namna ya kutokea, tulikuwa tunaenda kufa, nikawambia wenzangu "kwahiyo tunakufa huku tunajiona" hapo maji yalikuwa yamejaa, lakini baadae niliona mlango unajifungua kidogo baada ya muhudumu wa ndege kuuchokonoa kwa chini ndipo nilipotumia upenyo ule kuusukuma mlango nikatoka nje"
Abiria huyo ameongeza kwa kusema "baada ya mimi kutoka nilianza kuwaokoa wenzangu, na kila aliyekuwa anatoka alikuwa anakaa juu ya ndege maana maboti ya wavuvi yalikuwa bado kufika, nilijawa na ujasiri mkubwa ingawa hali yangu ilikuwa mbaya, nikawa nawavuta watu kuwatoa nje akiwemo mama mmoja na mwanae ambao pia niliwaokoa mimi nikisaidiana na mchina, baadae watu waliisha kwenye ndege nikajua wote wametoka ndipo wavuvi walipoanza kuja kutuchukua kutupeleka hospitali";- ameeleza mmoja wa waliookolewa.