Tafuta mizizi ya mti wa mpondeponde, ukaushe kisha usage uwe unga, kisha chukua mbegu za papai uzisage. Changanya huo mchanganyiko wote uwe unaweka kwenye maziwa ya mbuzi, kila siku kunywa nusu lita kwa kipindi cha miezi mitatu huku ukiweka asali ya nyuki wadogo vijiko viwili.
Usipopona niite umbwa nimekaa paleee.
Sio kweliHadi Mimi ninavyo hivi ni balaa dawa yake kupunguza mawazo na kula kwa wakati au tumia relcer gel na Omeprazole miezi mitatu ikidunda tumia hiii charanga mbegu ya parachichi kisha Iki kauka ule unga changanya na kiini cha yai la kienyeji kisha Tumia mara tatu kwenye kijiko cha chakula
Acha shobo mkuu Cc ephen_Sio kweli
Umetumwa kaa kimyaAcha upotoshaji ,,, upotoshaji kwenye afya nisawa na mauaji
Wape dawa Mimi nimeshapona
Kiongozi na mimi naomba hii dawa.PM yako, ipo locked mkuu .
Yani ndo unatujibu kijeuri hivyo na mawazo yote uliyopewa na wadau!! Wakati ulikua unalialia hapa kwa sautiWape dawa Mimi nimeshapona
Atapina 😂mungu atakusaidia mkuu utapina
usilete utani mkuu🤣🤣😀Atapina 😂
Mkuu Nyafwili nisaidie na mimi , nikipona nitatuma ya soda inshaalah ! Okoa jahazi nduguMimi nitakupa dawa ya vidonda vya tumbo bure, baada ya kupona.. Ulete shukrani.. 🤗🤗🤗.
Ooho sawaTatizo wengi niliowapa bure, wamegeuza kuwa biashara... 🥸 🥸 🥸