Mrejesho wanajamvi kuhusu vidonda vya tumbo

Acha kupotosha vidonda vingine vinatokana na Backeria ambao hawawezi kutibika na hicho ulichoandika
 
Sio kweli
 
Wakuu wakuuu, mimi zamani mtu alipokua ananiambia anaumwa vidonda nilikua nachukulia poa sana naona kama anadeka deka sasa bwanaaa mzigo ghafla bim vuuu mpaka pum*bu nililiona zito wallah vidonda vya tumbo ni balaaa kila anayeshauri dawa nishabugia hapa nimekaa kaa sielewi elewi
 
Dawa nyingine ambayo haina stress ni Asali ya nyuki wasiouma kila siku asubuhi na jioni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…