Mrejesho wangu wa tangazo la kutafuta mume humu

Ingekuwa hivyo basi hizi nyuzi za kulia lia humu ndani zisingekuwepo.[emoji848][emoji848][emoji848]
 
Reactions: amu
Wewe jamaaa unanifanya nicheke aiseeee.
Wenzako wa nalilia kulba wenyewe wewe unasema wanadhalilishwa? Embu acha kuwasemea wanaume wenzio bwana

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu jamaa nimemshangaa sana, wenzake hiyo ni moja ya majukumu wakati wa tendo yeye anasema tunadhalilishwa[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Reactions: amu
Dah kwa Jinsi ulivyoelezea kwa hisia kali..

No Comment!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Reactions: amu
Shangaa Elli.
Kuna mambo ya ajabu sana.
Mtu anaona hiyo ni adhabu.
I wonder hata mengine [emoji848][emoji848][emoji848] sijui yanakuwaje
Huyu jamaa nimemshangaa sana, wenzake hiyo ni moja ya majukumu wakati wa tendo yeye anasema tunadhalilishwa[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…