Uliza mwanaume anayejitambua akueleze! Mwanamke kutamka tu kuwa ninyonye ashakudharau ile mbaya! Ukiona mwanaume anakubali kunyonya mwanamke jua alishainamishwa au ashakuwa Mario alipokuwa mdogo hivyo alinyanaswa kijinsia
Wewe unawaambiaga vidume wafanye hivyo?
Umezidi ubahiri...Acha kabisaaaaa yaani jamani.
Maisha magumu hivi.
Unaanzaje kumpa mwanaume hela?
Yaani mimi hata mtu akisema nimfate kwa nauli yangu naumia mnooooo
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe unawaambiaga vidume wafanye hivyo?
Haha vizuri sana rafikiHapana rafiki siwezi kuwaambia mambo ya ajabu kama hayo.
Siwezi kabisaaaaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ingekuwa hivyo basi hizi nyuzi za kulia lia humu ndani zisingekuwepo.[emoji848][emoji848][emoji848]nyie wanawake sikilizeni msikupuke tu, Wanaume huwafuata Wanawake kwa mambo mawili, ambayo ni MAPENZI na SEX. Lakini inapofika hatua ya Kuoa, Wanaume hawaoi kwa sababu ya SEX au MAPENZI, wanaoa kwa sababu ya kutafuta AMANI NA UTULIVU WA NAFSI (STABILITY).
.
Mwanaume anaweza kukupenda na asikuoe
Mwanaume anaweza kuwa anafanya mapenzi na wewe tena mkadumu kwa muda mrefu lakini asikuoe. Lakini akampata mtu mwingine akamuoa hata kama mahusiano yake na mtu huyo yalikuwa ya miezi miwili.
.
Wanaume wengi hutizama mbali zaidi pale wanapotaka KUOA. Huwa hawafikirii habari za suti kali za harusi na sherehe ya gharama, vitu ambavyo hufikiriwa zaidi na wanawake kila wanapoiwaza ndoa.
.
Wanaume huwaza, iwapo mwanamke huyu anaweza kuijenga familia bora, anaweza kuwahudumia watoto? Hatanipa stress huko mbeleni, hatanisumbua katika masuala ya tendo la ndoa?
.
Wanaume wanaotaka kuoa huwa hawapendi wanawake wanaowapa mawazo, ndio maana wengine hukaa muda mrefu kwenye mahusiano lakini unajifikiria bila sababu ya msingi anakuja kuoa mtu amekaa nae kwa miezi miwili.
.
Ni ile utafutaji wa AMANI YA NAFSI.
Huyu jamaa nimemshangaa sana, wenzake hiyo ni moja ya majukumu wakati wa tendo yeye anasema tunadhalilishwa[emoji23][emoji23][emoji23]Wewe jamaaa unanifanya nicheke aiseeee.
Wenzako wa nalilia kulba wenyewe wewe unasema wanadhalilishwa? Embu acha kuwasemea wanaume wenzio bwana
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah kwa Jinsi ulivyoelezea kwa hisia kali..Hela yangu naitafuta kwa tabu sana yaani kwa shida sana inaniuma sana.
Najua nimetoka wapi siwezi kuwa na matumizi mabovu sababu ya mwanamme anayenila.
Yeye ndo anatakiwa aongeze nguvu kwangu na si kugawana nilichonacho.
Hapana aiseeeee
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo umekuwa mfadhiri wao[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Wao ndo wananiomba hela.
Acha kabisaaaaa yaani jamani.
Maisha magumu hivi.
Unaanzaje kumpa mwanaume hela?
Yaani mimi hata mtu akisema nimfate kwa nauli yangu naumia mnooooo
Sent using Jamii Forums mobile app
Badala ya kupika chapati,anapika chapalala...Unajua kupika?
Huyu jamaa nimemshangaa sana, wenzake hiyo ni moja ya majukumu wakati wa tendo yeye anasema tunadhalilishwa[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23] Peace of mind and soul uko niendakoKwa hiyo ukifa baada ya kuzini itakusaidia nini au mwenzio uliyemwacha?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahahah wewe mtoto wa kizigua visa kweli.Mimi hata nikikunja 10m kwa mwezi mwanaume wa kunikula sikosi tena ananikula na kusimamia uanaume wake si kuniletea jiboro tu
Sent using Jamii Forums mobile app