Mrejesho wangu wa tangazo la kutafuta mume humu

Mrejesho wangu wa tangazo la kutafuta mume humu

I normally shorten words during any informal communication otherwise when it comes to an official communication I know what is totally expected of me.

Mkuu ni vizuri ukaacha kuweka x kwenye c , sijui ila mimi kwa mtazamo wangu naona ni mambo ya kitoto, if i receive a message with words like that I normally delete it before i read the entire thing. Huwa naona there is nothing serious that can come out of that message.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Tena wakijua umezaa na unahitaji mume wanataka kukufanya kama sex machine yaani mtu anakosa ustaarabu, anyway mimi kuwa na mtoto si kigezo cha kufunuliwa na wanaume ovyo, kama tutaendana poa ila kama naona hatupo poa hapana aisee na inahitaji mda sana mpaka kufikia huko.
Leo nimejikuta niko humu sijui nimefikafikaje hahahhhh
Anywho!
Dating ni task moja kubwa haina mjuzi

Wanaume na Wanawake wote tupo kwenye jahazi moja.
Shida kubwa ni maturity level
Kama mtu anachukulia kuzaa au kuwa na mtoto ni kikwazo basi maturity level yake bado ni ya kisekondari BAK Si ni kweli Mkuu au?!

Wapo Wajane Wagane wako divorcée divorced single never married ni maturity ya mtu na uhitaji wa mtu

Kuoa au kuolewa haijalishi as long as you are above 18 ruksa. Unaweza kuoa au kuolewa hata ukiwa na miaka 70+

Online dating zina changamoto lakini wapo legit people utafurahi na roho yako. JF waongo wengi utoto pia unachangia sana!

Nilijaribu humu nikaona ni mchezo wa kuigiza
You get what you pay for.... I encourage ujaribu other websites kama roho inapenda All the Best
 
Kweli kabisa Pakawa. Hiyo ya wewe kujaribu kudate humu sikumbuki hata chembe. Humu ni sawa na uraiani tu kuna kupata na kukosa. Halafu wengi wanaona aibu kusema mume/mke wake wamekutana humu sijui kwanini. Nakumbuka kuna bidada humu alialikwa na rafiki yake kwenye harusi na hao watarajiwa walikutana humu ila hawakupenda watu wajue kama walikutana JF.
 
Kweli kabisa Pakawa. Hiyo ya wewe kujaribu kudate humu sikumbuki hata chembe. Humu ni sawa na uraiani tu kuna kupata na kukosa. Halafu wengi wanaona aibu kusema mume/mke wake wamekutana humu sijui kwanini. Nakumbuka kuna bidada humu alialikwa na rafiki yake kwenye harusi na hao watarajiwa walikutana humu ila hawakupenda watu wajue kama walikutana JF.
Nilijaribu 4yrs ago
Mods waliifuta eti kwa vile nilisema najaribu bahati kwa hivi wakasema eti siko serious!hahahh

Niligombana nao wakairudisha lakini niliyokutana nayo was full of jokes uongo mwingi utoto mwingi nikaona huku sio

Sioni kwa nini mtu aone haya kusema alipata mwenza humu mbona ni sawa na wale wa makanisani bar club Facebook Instagram etc.

JF ni pazuri kama watu wangekuwa serious kidogo kha!
 
Pole sana, bado Watanzania kuanzisha serious mahusiano mtandaoni tuko nyuma kidogo ukilinganisha na baadhi ya Nchi duniani ambazo asilimia kubwa ya mahusiano yanaanzia mtandaoni na ni biashara kubwa sana. Labda siku za usoni hali itabadilika na watu kuanza kuwa serious.

Nilijaribu 4yrs ago
Mods waliifuta eti kwa vile nilisema najaribu bahati kwa hivi wakasema eti siko serious!hahahh

Niligombana nao wakairudisha lakini niliyokutana nayo was full of jokes uongo mwingi utoto mwingi nikaona huku sio

Sioni kwa nini mtu aone haya kusema alipata mwenza humu mbona ni sawa na wale wa makanisani bar club Facebook Instagram etc.

JF ni pazuri kama watu wangekuwa serious kidogo kha!
 
Ukikuta mwanaume ana 35yrs na hajaoa jua kuna kitu hakiko sawa. Kwa huo umri ulouweka wa mwanaume unayemtaka ilikuwa obvious utafeli.

Hongera kwa kuwa makini navitombi wa humu jf.

Ukisikia sehemu kuna mafia wa mapenzi duniani basi jf inaongoza.

Kuna mdada humu ni single mama, aliweka uzi wa kutafuta mwenza kilichomkuta ni cha kusikitisha mnoo.

Alimpata jamaa mmoja, akajichanganya akamvulia chupi, akapachikwa mimba nyingine.

Kuja kufuatilia vzr kumbe jamaa kaoa na ana watoto 2.

Imagine tayari ww ni single mama na huna hata umri mkubwa ni just
Mimi mwenyewe kuna mdada humu aliwekaga uzi wa kutafuta mwenza enzi hizo.

Tukayajenga vzr kabisa, akanihakikishia hajawahi kuwa na serious relationship huko nyuma.

Baada ya mwaka nikaja kugundua ana watoto 3 tena mmoja mkubwa anakaribia kumaliza primary.

Trust me social medias/dating sites ni mahali pazuri pa kupatia mwenza endapo tuu utakuwa na akili na utatumia akili kuchakata mbivu na mbichi.

Huko dating sites unakoenda ndio unaenda kujichanganya mara mia zaidi ya humu jf.

Unless otherwise utachakatwa na uachwe solemba.

HONGERA SANA miminimama KWA KUWA OVER-CAUTIOUS NA MABAHARIA WA HUMU JF.


Unforgetable
Aisee nimecheka sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilijaribu 4yrs ago
Mods waliifuta eti kwa vile nilisema najaribu bahati kwa hivi wakasema eti siko serious!hahahh

Niligombana nao wakairudisha lakini niliyokutana nayo was full of jokes uongo mwingi utoto mwingi nikaona huku sio

Sioni kwa nini mtu aone haya kusema alipata mwenza humu mbona ni sawa na wale wa makanisani bar club Facebook Instagram etc.

JF ni pazuri kama watu wangekuwa serious kidogo kha!
Tatizo humu wengi wao wanawaza kufunuana tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom