Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa huku mtaani? Hapa ni home of great thinkers wewelet me teach you,writing in that way ni lugha ya mtaani meaning serious.uliza ujibiwe
Atakuwa ana shida.Hivi kweli huko mtaani umekosa kabisa?
Shangazi.Achana mambo ya kutafuta mume online fanya mambo mengine kama mume yupo atakuja tu
...........ubusu na nini na nini..[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Nadhani mtajiuliza wht online si mnajua tena single maza ubusy na nini na nini
Eti hiyo ndio sababu yake [emoji115]
Ukikuta mwanaume ana 35yrs na hajaoa jua kuna kitu hakiko sawa. Kwa huo umri ulouweka wa mwanaume unayemtaka ilikuwa obvious utafeli.
Hongera kwa kuwa makini navitombi wa humu jf.
Ukisikia sehemu kuna mafia wa mapenzi duniani basi jf inaongoza.
Kuna mdada humu ni single mama, aliweka uzi wa kutafuta mwenza kilichomkuta ni cha kusikitisha mnoo.
Alimpata jamaa mmoja, akajichanganya akamvulia chupi, akapachikwa mimba nyingine.
Kuja kufuatilia vzr kumbe jamaa kaoa na ana watoto 2.
Imagine tayari ww ni single mama na huna hata umri mkubwa ni just
Mimi mwenyewe kuna mdada humu aliwekaga uzi wa kutafuta mwenza enzi hizo.
Tukayajenga vzr kabisa, akanihakikishia hajawahi kuwa na serious relationship huko nyuma.
Baada ya mwaka nikaja kugundua ana watoto 3 tena mmoja mkubwa anakaribia kumaliza primary.
Trust me social medias/dating sites ni mahali pazuri pa kupatia mwenza endapo tuu utakuwa na akili na utatumia akili kuchakata mbivu na mbichi.
Huko dating sites unakoenda ndio unaenda kujichanganya mara mia zaidi ya humu jf.
Unless otherwise utachakatwa na uachwe solemba.
HONGERA SANA miminimama KWA KUWA OVER-CAUTIOUS NA MABAHARIA WA HUMU JF.
Unforgetable
Marhaba, umri unaenda wapi? Akae atulie asubiri wakati wa Bwana [emoji3][emoji3]Shangazi.
Kwanza shikamoo.
[emoji3][emoji3]Anaona umri unaenda tu na hakuna dalili.
Kinachoshangaza mtaani kote na ibadani kwenye shughuli zake eti kakosa. Hadi ahangaike mitandaoni.
Kuna shida mahala me naona.
Ukikuta mwanaume ana 35yrs na hajaoa jua kuna kitu hakiko sawa. Kwa huo umri ulouweka wa mwanaume unayemtaka ilikuwa obvious utafeli.
Hongera kwa kuwa makini navitombi wa humu jf.
Ukisikia sehemu kuna mafia wa mapenzi duniani basi jf inaongoza.
Kuna mdada humu ni single mama, aliweka uzi wa kutafuta mwenza kilichomkuta ni cha kusikitisha mnoo.
Alimpata jamaa mmoja, akajichanganya akamvulia chupi, akapachikwa mimba nyingine.
Kuja kufuatilia vzr kumbe jamaa kaoa na ana watoto 2.
Imagine tayari ww ni single mama na huna hata umri mkubwa ni just
Mimi mwenyewe kuna mdada humu aliwekaga uzi wa kutafuta mwenza enzi hizo.
Tukayajenga vzr kabisa, akanihakikishia hajawahi kuwa na serious relationship huko nyuma.
Baada ya mwaka nikaja kugundua ana watoto 3 tena mmoja mkubwa anakaribia kumaliza primary.
Trust me social medias/dating sites ni mahali pazuri pa kupatia mwenza endapo tuu utakuwa na akili na utatumia akili kuchakata mbivu na mbichi.
Huko dating sites unakoenda ndio unaenda kujichanganya mara mia zaidi ya humu jf.
Unless otherwise utachakatwa na uachwe solemba.
HONGERA SANA miminimama KWA KUWA OVER-CAUTIOUS NA MABAHARIA WA HUMU JF.
Unforgetable
Uwe unaweka nukta na mikato pia.I normally shorten words during any informal communication otherwise when it comes to an official communication I know what is totally expected of me.
Pole sana
Yani mtu kakosa mtu wa kumuoa huko anakoishi na kwenye mishe zake anahisi hapa Jf atapata[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Pole sana, hivi kumbe mnapowekaga mabandiko humu ndani ya kutafuta wachumba huwa mko serious kabisaaaaaaa!!![emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
Ule uzi wako vipi? Ulipata hata furushi?Kwahiyo ndio kusema humu ni mafurushi tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nilikuwa lindoUmelala wapi leo?