Mrejesho wangu wa tangazo la kutafuta mume humu

Mrejesho wangu wa tangazo la kutafuta mume humu

Kwani JF sio online?

Kama ulishindwa kuelewana na mtu uliyepata nae mtoto sijui kama hawa wengine mtaelewana
 
Achana mambo ya kutafuta mume online fanya mambo mengine kama mume yupo atakuja tu
Shangazi.

Kwanza shikamoo.

[emoji3][emoji3]Anaona umri unaenda tu na hakuna dalili.

Kinachoshangaza mtaani kote na ibadani kwenye shughuli zake eti kakosa. Hadi ahangaike mitandaoni.

Kuna shida mahala me naona.
 
Dahhh...!!
Mbona mimi sikuliona hilo tangazo..??
Ebu ngoja nikufuate huko PM, ila usije ukantangaza kama hawa wakaka wawili.
 
Nadhani mtajiuliza wht online si mnajua tena single maza ubusy na nini na nini

Eti hiyo ndio sababu yake [emoji115]
...........ubusu na nini na nini..[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Ukikuta mwanaume ana 35yrs na hajaoa jua kuna kitu hakiko sawa. Kwa huo umri ulouweka wa mwanaume unayemtaka ilikuwa obvious utafeli.

Hongera kwa kuwa makini navitombi wa humu jf.

Ukisikia sehemu kuna mafia wa mapenzi duniani basi jf inaongoza.

Kuna mdada humu ni single mama, aliweka uzi wa kutafuta mwenza kilichomkuta ni cha kusikitisha mnoo.

Alimpata jamaa mmoja, akajichanganya akamvulia chupi, akapachikwa mimba nyingine.

Kuja kufuatilia vzr kumbe jamaa kaoa na ana watoto 2.

Imagine tayari ww ni single mama na huna hata umri mkubwa ni just
Mimi mwenyewe kuna mdada humu aliwekaga uzi wa kutafuta mwenza enzi hizo.

Tukayajenga vzr kabisa, akanihakikishia hajawahi kuwa na serious relationship huko nyuma.

Baada ya mwaka nikaja kugundua ana watoto 3 tena mmoja mkubwa anakaribia kumaliza primary.

Trust me social medias/dating sites ni mahali pazuri pa kupatia mwenza endapo tuu utakuwa na akili na utatumia akili kuchakata mbivu na mbichi.

Huko dating sites unakoenda ndio unaenda kujichanganya mara mia zaidi ya humu jf.

Unless otherwise utachakatwa na uachwe solemba.

HONGERA SANA miminimama KWA KUWA OVER-CAUTIOUS NA MABAHARIA WA HUMU JF.


Unforgetable


Maelezo meeengi, huyo Unforgetable umemchakata??
 
Shangazi.

Kwanza shikamoo.

[emoji3][emoji3]Anaona umri unaenda tu na hakuna dalili.

Kinachoshangaza mtaani kote na ibadani kwenye shughuli zake eti kakosa. Hadi ahangaike mitandaoni.

Kuna shida mahala me naona.
Marhaba, umri unaenda wapi? Akae atulie asubiri wakati wa Bwana [emoji3][emoji3]
 
Kwahiyo ndio kusema humu ni mafurushi tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Well said.
Ukikuta mwanaume ana 35yrs na hajaoa jua kuna kitu hakiko sawa. Kwa huo umri ulouweka wa mwanaume unayemtaka ilikuwa obvious utafeli.

Hongera kwa kuwa makini navitombi wa humu jf.

Ukisikia sehemu kuna mafia wa mapenzi duniani basi jf inaongoza.

Kuna mdada humu ni single mama, aliweka uzi wa kutafuta mwenza kilichomkuta ni cha kusikitisha mnoo.

Alimpata jamaa mmoja, akajichanganya akamvulia chupi, akapachikwa mimba nyingine.

Kuja kufuatilia vzr kumbe jamaa kaoa na ana watoto 2.

Imagine tayari ww ni single mama na huna hata umri mkubwa ni just
Mimi mwenyewe kuna mdada humu aliwekaga uzi wa kutafuta mwenza enzi hizo.

Tukayajenga vzr kabisa, akanihakikishia hajawahi kuwa na serious relationship huko nyuma.

Baada ya mwaka nikaja kugundua ana watoto 3 tena mmoja mkubwa anakaribia kumaliza primary.

Trust me social medias/dating sites ni mahali pazuri pa kupatia mwenza endapo tuu utakuwa na akili na utatumia akili kuchakata mbivu na mbichi.

Huko dating sites unakoenda ndio unaenda kujichanganya mara mia zaidi ya humu jf.

Unless otherwise utachakatwa na uachwe solemba.

HONGERA SANA miminimama KWA KUWA OVER-CAUTIOUS NA MABAHARIA WA HUMU JF.


Unforgetable
 
Pole sana, hivi kumbe mnapowekaga mabandiko humu ndani ya kutafuta wachumba huwa mko serious kabisaaaaaaa!!![emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
 
Mapenzi ya Mtandaoni tena Unatangaza unataka Mtu wa kukuoa???[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Aisee utaliwaaa tu nasema hutapata bwana tena miaka 35 kwenda mbele hakika Unaotaa.. Labda useme unawashwa unataka mkunaji[emoji23][emoji23][emoji23] Mabahari wanajua kuitumia fursa wanakuja kama waoaji lakini kumbee ni vitombi...
 
Pole sana, hivi kumbe mnapowekaga mabandiko humu ndani ya kutafuta wachumba huwa mko serious kabisaaaaaaa!!![emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
Yani mtu kakosa mtu wa kumuoa huko anakoishi na kwenye mishe zake anahisi hapa Jf atapata[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom