Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Kwahiyo wiki hii uliamua kutoa bonus ya wiki nzima?[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nipo kwenye daladala auntie nacheka mwenyewe kama chizi ujue lindo linakuwaga siku mbili kila baada ya week
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo wiki hii uliamua kutoa bonus ya wiki nzima?[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nipo kwenye daladala auntie nacheka mwenyewe kama chizi ujue lindo linakuwaga siku mbili kila baada ya week
Hapana bwana jana ndio nilikuwa namalizia siku ya piliKwahiyo wiki hii uliamua kutoa bonus ya wiki nzima?
Kama mtu umekosa mume/mke katika watu unaokutana nao kwenye shughuli za kawaida basi tatizo lipo tena kubwa, huku mtandaoni tunapata marafiki ambao pia anaweza kuwa mke/mume , lakini kuwa na nia kabisa ya kutafuta huwa inanishangazaHata mm nimejiuliza. Haya mambo yawaweza kukupa ukichaa
Atawapata wa kumgonga tu, wapo wengiHajafikiria hili. Nafikir hawajui wanaume vizuri. Af anafikiri atakuja tuu aolewe kirahisi
Yeah tatizo kubwaAtakuwa ana shida.
Yaani hata huko anakofanya shughuli zake.
Kumbe mkisha Cc-ana inakuwa tayari umechakata/kuchakatwa?[emoji23][emoji23][emoji23]Maelezo meeengi, huyo Unforgetable umemchakata??
I hope uko na some ideas on how to stay safe uwapo online, maana utaaeza kuwa scammed ukashangaa mwnyew. Bongo unaeza kutana na mtu online mka date na kuoana, it's just inahitaji muda sana kumpata mtu sahihi. Me nlikutana na wife through Facebook tu and now tuko na mtoto mmoja, nlikua serious na yeye akawa ivo and we made it na bado tunaendelea poa tu. Usikate tamaa mapema sabab ya hao wawili tu, I wish you all the best![emoji4]Mnamo mwaka jana mwezi wa 8 nliweka tangazo la kutafuta mume humu ndani nikarudia tena February mwaka huu, nilipata pm nyingi nyingi tu na nlizijibu kadri ya uwezo wangu.
Nilibahatika kuonana na wakaka wa wawili, hawa ni watu wazima kidogo miaka yao kuanzia 35 na kuendelea wa kwanza tulikutana magomeni tukaongea kupeana basic intro, wa pili tulionana alikuja mitaa ya nyumbani.
Ila hao wote nikiri tu walikuwa wanasisitiza ngono, muingiliano kimwili hata hatujajuana kivile na baadhi ya vitu hatujafahamiana wala kujuana tukaishia hewani.
Kwa kifupi ni kuwa humu kutafuta mume huwezi pata zaidi ya sex partner wanaume ni kama vile wanakuwa wanawinda wanawake, anyway kibongo bongo online dating bado sana, najiandaa kesho kwenda equity bank kufungua akaunti na kujiunga na online transactions nilipie dating sites za mambele huko naamini nitapata mume na nitaleta mrejesho humu.
Nadhani mtajiuliza wht online si mnajua tena single maza ubusy na nini na nini.
Duuuh Wanachukulia kawaida au kama unajiuza tu
I hope uko na some ideas on how to stay safe uwapo online, maana utaaeza kuwa scammed ukashangaa mwnyew. Bongo unaeza kutana na mtu online mka date na kuoana, it's just inahitaji muda sana kumpata mtu sahihi. Me nlikutana na wife through Facebook tu and now tuko na mtoto mmoja, nlikua serious na yeye akawa ivo and we made it na bado tunaendelea poa tu. Usikate tamaa mapema sabab ya hao wawili tu, I wish you all the best![emoji4]
Kama mtu umekosa mume/mke katika watu unaokutana nao kwenye shughuli za kawaida basi tatizo lipo tena kubwa, huku mtandaoni tunapata marafiki ambao pia anaweza kuwa mke/mume , lakini kuwa na nia kabisa ya kutafuta huwa inanishangaza
Nimependa feedback yako.
Its mature.
Hujawasema vibaya. Ukute ni vijitu vya ovyo na misuruali ya kanda bongo man lkn hujasema....
Wish you luck Mama.
Kama mtu umekosa mume/mke katika watu unaokutana nao kwenye shughuli za kawaida basi tatizo lipo tena kubwa, huku mtandaoni tunapata marafiki ambao pia anaweza kuwa mke/mume , lakini kuwa na nia kabisa ya kutafuta huwa inanishangaza
Cheka mwayaAhsante umenichekesha sana.
Sure pengene angewapa mambo yangekuwa mazurMwanaume yeyote katika mahusiano anaitaji kwanza tendo,kuhusu kuwa mume....itategemea na nguvu yako ya ushawishi;walioolewa wote sio kwamba ni wazuri...bali walitumia uwezo wao mkubwa wa ushawishi pamoja na kutoa tendo ndio maana leo wanaitwa mrs.Kwa hiyo kuwakataa wale inawezekana umemfukuza mume mtarajiwa kwa kutokujua.
Sasa ulitaka wakuoe bila kukuonja??Mnamo mwaka jana mwezi wa 8 nliweka tangazo la kutafuta mume humu ndani nikarudia tena February mwaka huu, nilipata pm nyingi nyingi tu na nlizijibu kadri ya uwezo wangu.
Nilibahatika kuonana na wakaka wa wawili, hawa ni watu wazima kidogo miaka yao kuanzia 35 na kuendelea wa kwanza tulikutana magomeni tukaongea kupeana basic intro, wa pili tulionana alikuja mitaa ya nyumbani.
Ila hao wote nikiri tu walikuwa wanasisitiza ngono, muingiliano kimwili hata hatujajuana kivile na baadhi ya vitu hatujafahamiana wala kujuana tukaishia hewani.
Kwa kifupi ni kuwa humu kutafuta mume huwezi pata zaidi ya sex partner wanaume ni kama vile wanakuwa wanawinda wanawake, anyway kibongo bongo online dating bado sana, najiandaa kesho kwenda equity bank kufungua akaunti na kujiunga na online transactions nilipie dating sites za mambele huko naamini nitapata mume na nitaleta mrejesho humu.
Nadhani mtajiuliza wht online si mnajua tena single maza ubusy na nini na nini.
Karibu! And usiwe na shaka, time frame yako ikifika utampata unaemuhitaji bila hata hustles...[emoji1479]Ahsante sana kaka kwa kunitia moyo hope nitafanikiwa.
Kuna point kubwa sana sijui kama watakuelewa. Nakazia tatizo sio kuliwa bali ni ushawishi.Mwanaume yeyote katika mahusiano anaitaji kwanza tendo,kuhusu kuwa mume....itategemea na nguvu yako ya ushawishi;walioolewa wote sio kwamba ni wazuri...bali walitumia uwezo wao mkubwa wa ushawishi pamoja na kutoa tendo ndio maana leo wanaitwa mrs.Kwa hiyo kuwakataa wale inawezekana umemfukuza mume mtarajiwa kwa kutokujua.
Lakini pia inategemea na mdaSure pengene angewapa mambo yangekuwa mazur