Mrejesho wangu wa tangazo la kutafuta mume humu

Mrejesho wangu wa tangazo la kutafuta mume humu

[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nipo kwenye daladala auntie nacheka mwenyewe kama chizi ujue lindo linakuwaga siku mbili kila baada ya week
Kwahiyo wiki hii uliamua kutoa bonus ya wiki nzima?
 
Hata mm nimejiuliza. Haya mambo yawaweza kukupa ukichaa
Kama mtu umekosa mume/mke katika watu unaokutana nao kwenye shughuli za kawaida basi tatizo lipo tena kubwa, huku mtandaoni tunapata marafiki ambao pia anaweza kuwa mke/mume , lakini kuwa na nia kabisa ya kutafuta huwa inanishangaza
 
Mwanaume yeyote katika mahusiano anaitaji kwanza tendo,kuhusu kuwa mume....itategemea na nguvu yako ya ushawishi;walioolewa wote sio kwamba ni wazuri...bali walitumia uwezo wao mkubwa wa ushawishi pamoja na kutoa tendo ndio maana leo wanaitwa mrs.Kwa hiyo kuwakataa wale inawezekana umemfukuza mume mtarajiwa kwa kutokujua.
 
Mnamo mwaka jana mwezi wa 8 nliweka tangazo la kutafuta mume humu ndani nikarudia tena February mwaka huu, nilipata pm nyingi nyingi tu na nlizijibu kadri ya uwezo wangu.

Nilibahatika kuonana na wakaka wa wawili, hawa ni watu wazima kidogo miaka yao kuanzia 35 na kuendelea wa kwanza tulikutana magomeni tukaongea kupeana basic intro, wa pili tulionana alikuja mitaa ya nyumbani.

Ila hao wote nikiri tu walikuwa wanasisitiza ngono, muingiliano kimwili hata hatujajuana kivile na baadhi ya vitu hatujafahamiana wala kujuana tukaishia hewani.

Kwa kifupi ni kuwa humu kutafuta mume huwezi pata zaidi ya sex partner wanaume ni kama vile wanakuwa wanawinda wanawake, anyway kibongo bongo online dating bado sana, najiandaa kesho kwenda equity bank kufungua akaunti na kujiunga na online transactions nilipie dating sites za mambele huko naamini nitapata mume na nitaleta mrejesho humu.

Nadhani mtajiuliza wht online si mnajua tena single maza ubusy na nini na nini.
I hope uko na some ideas on how to stay safe uwapo online, maana utaaeza kuwa scammed ukashangaa mwnyew. Bongo unaeza kutana na mtu online mka date na kuoana, it's just inahitaji muda sana kumpata mtu sahihi. Me nlikutana na wife through Facebook tu and now tuko na mtoto mmoja, nlikua serious na yeye akawa ivo and we made it na bado tunaendelea poa tu. Usikate tamaa mapema sabab ya hao wawili tu, I wish you all the best![emoji4]
 
Ahsante sana kaka kwa kunitia moyo hope nitafanikiwa.
I hope uko na some ideas on how to stay safe uwapo online, maana utaaeza kuwa scammed ukashangaa mwnyew. Bongo unaeza kutana na mtu online mka date na kuoana, it's just inahitaji muda sana kumpata mtu sahihi. Me nlikutana na wife through Facebook tu and now tuko na mtoto mmoja, nlikua serious na yeye akawa ivo and we made it na bado tunaendelea poa tu. Usikate tamaa mapema sabab ya hao wawili tu, I wish you all the best![emoji4]
 
Hey style up, hunijui sikujui why jumping to the conclusion, utakuwa mswahili sana weye.
Punguza kidomodomo.
Kama mtu umekosa mume/mke katika watu unaokutana nao kwenye shughuli za kawaida basi tatizo lipo tena kubwa, huku mtandaoni tunapata marafiki ambao pia anaweza kuwa mke/mume , lakini kuwa na nia kabisa ya kutafuta huwa inanishangaza
 
Labda kwa wabongo lakini kwa nchi nyingi duniani hasa kutokana na busy life style mtandao ndiyo nambari one kwa kupata GF/BF na hata mke/mume na hizo sites zinatengeneza pesa nzuri kupitia utitiri wa wateja wao.

Kama mtu umekosa mume/mke katika watu unaokutana nao kwenye shughuli za kawaida basi tatizo lipo tena kubwa, huku mtandaoni tunapata marafiki ambao pia anaweza kuwa mke/mume , lakini kuwa na nia kabisa ya kutafuta huwa inanishangaza
 
Mwanaume yeyote katika mahusiano anaitaji kwanza tendo,kuhusu kuwa mume....itategemea na nguvu yako ya ushawishi;walioolewa wote sio kwamba ni wazuri...bali walitumia uwezo wao mkubwa wa ushawishi pamoja na kutoa tendo ndio maana leo wanaitwa mrs.Kwa hiyo kuwakataa wale inawezekana umemfukuza mume mtarajiwa kwa kutokujua.
Sure pengene angewapa mambo yangekuwa mazur
 
Mnamo mwaka jana mwezi wa 8 nliweka tangazo la kutafuta mume humu ndani nikarudia tena February mwaka huu, nilipata pm nyingi nyingi tu na nlizijibu kadri ya uwezo wangu.

Nilibahatika kuonana na wakaka wa wawili, hawa ni watu wazima kidogo miaka yao kuanzia 35 na kuendelea wa kwanza tulikutana magomeni tukaongea kupeana basic intro, wa pili tulionana alikuja mitaa ya nyumbani.

Ila hao wote nikiri tu walikuwa wanasisitiza ngono, muingiliano kimwili hata hatujajuana kivile na baadhi ya vitu hatujafahamiana wala kujuana tukaishia hewani.

Kwa kifupi ni kuwa humu kutafuta mume huwezi pata zaidi ya sex partner wanaume ni kama vile wanakuwa wanawinda wanawake, anyway kibongo bongo online dating bado sana, najiandaa kesho kwenda equity bank kufungua akaunti na kujiunga na online transactions nilipie dating sites za mambele huko naamini nitapata mume na nitaleta mrejesho humu.

Nadhani mtajiuliza wht online si mnajua tena single maza ubusy na nini na nini.
Sasa ulitaka wakuoe bila kukuonja??
 
Mwanaume yeyote katika mahusiano anaitaji kwanza tendo,kuhusu kuwa mume....itategemea na nguvu yako ya ushawishi;walioolewa wote sio kwamba ni wazuri...bali walitumia uwezo wao mkubwa wa ushawishi pamoja na kutoa tendo ndio maana leo wanaitwa mrs.Kwa hiyo kuwakataa wale inawezekana umemfukuza mume mtarajiwa kwa kutokujua.
Kuna point kubwa sana sijui kama watakuelewa. Nakazia tatizo sio kuliwa bali ni ushawishi.
 
Back
Top Bottom