Fursakibao
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 6,813
- 11,540
Si kwa povu hili; Inaonekana huyu ni kati ya wale[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mzee baba vipi alibana mzigo nini???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si kwa povu hili; Inaonekana huyu ni kati ya wale[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mzee baba vipi alibana mzigo nini???
Kabisa mkuu....!![emoji23][emoji23][emoji23] Itakuwa kuna angle walikutana...Si kwa povu hili; Inaonekana huyu ni kati ya wale
Hebu muite aje atueleze vizuriKabisa mkuu....!![emoji23][emoji23][emoji23] Itakuwa kuna angle walikutana...
Ndio maana kuna msemo...mficha uch.... hazaiSure pengene angewapa mambo yangekuwa mazur
🤣🤣 Kwa attitude hiyo inawezekana ndo sababu ya kukosa mume, relax..haya Mambo hayahitaji hasira.Hey style up, hunijui sikujui why jumping to the conclusion, utakuwa mswahili sana weye.
Punguza kidomodomo.
Kwa baharia 2500 pakubwa sanaa...!! Alafu hutaki kutoa nyampuu[emoji39][emoji39][emoji2089]Hapana sijala hela ya yoyote hata hao wawili nilionana nao mmoja alininunulia chips kavu na juice ya miwa Total sh 2 500 mwingine alikuja kituo cha basi labda gharama yake ni muda wake na nauli tu isiyozidi Tsh 2 000.
Kwa baharia 2500 pakubwa sanaa...!! Alafu hutaki kutoa nyampuu[emoji39][emoji39][emoji2089]
Ukikuta mwanaume ana 35yrs na hajaoa jua kuna kitu hakiko sawa. Kwa huo umri ulouweka wa mwanaume unayemtaka ilikuwa obvious utafeli.
Hongera kwa kuwa makini navitombi wa humu jf.
Ukisikia sehemu kuna mafia wa mapenzi duniani basi jf inaongoza.
Kuna mdada humu ni single mama, aliweka uzi wa kutafuta mwenza kilichomkuta ni cha kusikitisha mnoo.
Alimpata jamaa mmoja, akajichanganya akamvulia chupi, akapachikwa mimba nyingine.
Kuja kufuatilia vzr kumbe jamaa kaoa na ana watoto 2.
Imagine tayari ww ni single mama na huna hata umri mkubwa ni just
Mimi mwenyewe kuna mdada humu aliwekaga uzi wa kutafuta mwenza enzi hizo.
Tukayajenga vzr kabisa, akanihakikishia hajawahi kuwa na serious relationship huko nyuma.
Baada ya mwaka nikaja kugundua ana watoto 3 tena mmoja mkubwa anakaribia kumaliza primary.
Trust me social medias/dating sites ni mahali pazuri pa kupatia mwenza endapo tuu utakuwa na akili na utatumia akili kuchakata mbivu na mbichi.
Huko dating sites unakoenda ndio unaenda kujichanganya mara mia zaidi ya humu jf.
Unless otherwise utachakatwa na uachwe solemba.
HONGERA SANA miminimama KWA KUWA OVER-CAUTIOUS NA MABAHARIA WA HUMU JF.
Unforgetable
Lakini pia inategemea na mda
sasa unataka kuibua mengine hapa. ushauri wakutaja muonekano wao sijambo zuri unaweza kuibu mazito ambayo kwa asilimia kubwa yanaweza kuwa si kweli.miminimama mpendwa wangu hata usiwinde wakati wa Mungu ukifika utaoata bonge la bwana mpaka utashangaa, kibongo bongo mwanamke kutafuta mwanaume unaonekana upo sokoni, so wewe tulia saka mahela kwanza ya kumlea anko wetu mengine yatajileta baadae.
He he he halafu hayo mafurushi uliyoonana nayo hujatuambia mionekano yao na sisi tuwanange.
Ngoja niulize swali lakini si kwa ubaya. aliependekeza chips kavu na juice ya miwa ni wewe ama jamaa?Hapana sijala hela ya yoyote hata hao wawili nilionana nao mmoja alininunulia chips kavu na juice ya miwa Total sh 2 500 mwingine alikuja kituo cha basi labda gharama yake ni muda wake na nauli tu isiyozidi Tsh 2 000.
Mkuu wewe Ni balaa unataka kujua info zote,kisa 2,500/=[emoji41][emoji41]Ngoja niulize swali lakini si kwa ubaya. aliependekeza chips kavu na juice ya miwa ni wewe ama jamaa?
nilitaka kujua tu. unajua kuna vitu vingine tunafeli wenyewe. unakwenda date lazima ujikakamue kila sekta moja ikiwa ni ya mufuko. najaribu kupiga picha hiyo sehemu ilikuwa kuwa je?Mkuu wewe Ni balaa unataka kujua info zote,kisa 2,500/=[emoji41][emoji41]
Ngoja niulize swali lakini si kwa ubaya. aliependekeza chips kavu na juice ya miwa ni wewe ama jamaa?