Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
Hahaaa unafikili wanatania kama wewePole sana, hivi kumbe mnapowekaga mabandiko humu ndani ya kutafuta wachumba huwa mko serious kabisaaaaaaa!!![emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaaa unafikili wanatania kama wewePole sana, hivi kumbe mnapowekaga mabandiko humu ndani ya kutafuta wachumba huwa mko serious kabisaaaaaaa!!![emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
All the best in your new mission!Mnamo mwaka jana mwezi wa 8 nliweka tangazo la kutafuta mume humu ndani nikarudia tena February mwaka huu, nilipata pm nyingi nyingi tu na nlizijibu kadri ya uwezo wangu.
Nilibahatika kuonana na wakaka wa wawili, hawa ni watu wazima kidogo miaka yao kuanzia 35 na kuendelea wa kwanza tulikutana magomeni tukaongea kupeana basic intro, wa pili tulionana alikuja mitaa ya nyumbani.
Ila hao wote nikiri tu walikuwa wanasisitiza ngono, muingiliano kimwili hata hatujajuana kivile na baadhi ya vitu hatujafahamiana wala kujuana tukaishia hewani.
Kwa kifupi ni kuwa humu kutafuta mume huwezi pata zaidi ya sex partner wanaume ni kama vile wanakuwa wanawinda wanawake, anyway kibongo bongo online dating bado sana, najiandaa kesho kwenda equity bank kufungua akaunti na kujiunga na online transactions nilipie dating sites za mambele huko naamini nitapata mume na nitaleta mrejesho humu.
Nadhani mtajiuliza wht online si mnajua tena single maza ubusy na nini na nini.
Nilikuwa lindo
Nimependa feedback yako.
Its mature.
Hujawasema vibaya. Ukute ni vijitu vya ovyo na misuruali ya kanda bongo man lkn hujasema....
Wish you luck Mama.
Hahaaa unafikili wanatania kama wewe
Sehemu pekee unayoweza kupata mwenza ni mahali unapoishi maana hapo ndo tabia yako inapofahamika zaidi.Mnamo mwaka jana mwezi wa 8 nliweka tangazo la kutafuta mume humu ndani nikarudia tena February mwaka huu, nilipata pm nyingi nyingi tu na nlizijibu kadri ya uwezo wangu.
Nilibahatika kuonana na wakaka wa wawili, hawa ni watu wazima kidogo miaka yao kuanzia 35 na kuendelea wa kwanza tulikutana magomeni tukaongea kupeana basic intro, wa pili tulionana alikuja mitaa ya nyumbani.
Ila hao wote nikiri tu walikuwa wanasisitiza ngono, muingiliano kimwili hata hatujajuana kivile na baadhi ya vitu hatujafahamiana wala kujuana tukaishia hewani.
Kwa kifupi ni kuwa humu kutafuta mume huwezi pata zaidi ya sex partner wanaume ni kama vile wanakuwa wanawinda wanawake, anyway kibongo bongo online dating bado sana, najiandaa kesho kwenda equity bank kufungua akaunti na kujiunga na online transactions nilipie dating sites za mambele huko naamini nitapata mume na nitaleta mrejesho humu.
Nadhani mtajiuliza wht online si mnajua tena single maza ubusy na nini na nini.
Kwa kuwa ni Singo maza kuonja kuna umuhimu hadi unogewe Ndio maamuzi yanafuataMm mwenyewe natafta mdada nimuowe
Hakuna mtu hapo.... Kahaba tu.Nadhani mtajiuliza wht online si mnajua tena single maza ubusy na nini na nini
Eti hiyo ndio sababu yake [emoji115]
Kama uko serious ni-check pm.Mnamo mwaka jana mwezi wa 8 nliweka tangazo la kutafuta mume humu ndani nikarudia tena February mwaka huu, nilipata pm nyingi nyingi tu na nlizijibu kadri ya uwezo wangu.
Nilibahatika kuonana na wakaka wa wawili, hawa ni watu wazima kidogo miaka yao kuanzia 35 na kuendelea wa kwanza tulikutana magomeni tukaongea kupeana basic intro, wa pili tulionana alikuja mitaa ya nyumbani.
Ila hao wote nikiri tu walikuwa wanasisitiza ngono, muingiliano kimwili hata hatujajuana kivile na baadhi ya vitu hatujafahamiana wala kujuana tukaishia hewani.
Kwa kifupi ni kuwa humu kutafuta mume huwezi pata zaidi ya sex partner wanaume ni kama vile wanakuwa wanawinda wanawake, anyway kibongo bongo online dating bado sana, najiandaa kesho kwenda equity bank kufungua akaunti na kujiunga na online transactions nilipie dating sites za mambele huko naamini nitapata mume na nitaleta mrejesho humu.
Nadhani mtajiuliza wht online si mnajua tena single maza ubusy na nini na nini.
sio siri umeandika kama mwanamkeUkikuta mwanaume ana 35yrs na hajaoa jua kuna kitu hakiko sawa. Kwa huo umri ulouweka wa mwanaume unayemtaka ilikuwa obvious utafeli.
Hongera kwa kuwa makini navitombi wa humu jf.
Ukisikia sehemu kuna mafia wa mapenzi duniani basi jf inaongoza.
Kuna mdada humu ni single mama, aliweka uzi wa kutafuta mwenza kilichomkuta ni cha kusikitisha mnoo.
Alimpata jamaa mmoja, akajichanganya akamvulia chupi, akapachikwa mimba nyingine.
Kuja kufuatilia vzr kumbe jamaa kaoa na ana watoto 2.
Imagine tayari ww ni single mama na huna hata umri mkubwa ni just
Mimi mwenyewe kuna mdada humu aliwekaga uzi wa kutafuta mwenza enzi hizo.
Tukayajenga vzr kabisa, akanihakikishia hajawahi kuwa na serious relationship huko nyuma.
Baada ya mwaka nikaja kugundua ana watoto 3 tena mmoja mkubwa anakaribia kumaliza primary.
Trust me social medias/dating sites ni mahali pazuri pa kupatia mwenza endapo tuu utakuwa na akili na utatumia akili kuchakata mbivu na mbichi.
Huko dating sites unakoenda ndio unaenda kujichanganya mara mia zaidi ya humu jf.
Unless otherwise utachakatwa na uachwe solemba.
HONGERA SANA miminimama KWA KUWA OVER-CAUTIOUS NA MABAHARIA WA HUMU JF.
Unforgetable
kwa hiyo unataka mkikubaliana leo kesho iwe ndoa? we vipiAcheni kuwa mnadanganyana eti mwanaume akiwa na miaka 35 hajaoa atakuwa na tatizo.
kitu cha pili huna tofauti na hao unaowasema. huyomdada unaemsema kama aliweka bandiko la kutafuta mme ilikuwa je mkakaa mwaka mzima bila kuoana kama sio ulikuwa umemfanya sext partner na wewe
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nipo kwenye daladala auntie nacheka mwenyewe kama chizi ujue lindo linakuwaga siku mbili kila baada ya weekMaweeee kila siku uko lindo eti?
Kila la Heri mdau tupo pamoja hatua kwa hatua bega kwa bega voice(ccm)Mnamo mwaka jana mwezi wa 8 nliweka tangazo la kutafuta mume humu ndani nikarudia tena February mwaka huu, nilipata pm nyingi nyingi tu na nlizijibu kadri ya uwezo wangu.
Nilibahatika kuonana na wakaka wa wawili, hawa ni watu wazima kidogo miaka yao kuanzia 35 na kuendelea wa kwanza tulikutana magomeni tukaongea kupeana basic intro, wa pili tulionana alikuja mitaa ya nyumbani.
Ila hao wote nikiri tu walikuwa wanasisitiza ngono, muingiliano kimwili hata hatujajuana kivile na baadhi ya vitu hatujafahamiana wala kujuana tukaishia hewani.
Kwa kifupi ni kuwa humu kutafuta mume huwezi pata zaidi ya sex partner wanaume ni kama vile wanakuwa wanawinda wanawake, anyway kibongo bongo online dating bado sana, najiandaa kesho kwenda equity bank kufungua akaunti na kujiunga na online transactions nilipie dating sites za mambele huko naamini nitapata mume na nitaleta mrejesho humu.
Nadhani mtajiuliza wht online si mnajua tena single maza ubusy na nini na nini.
Kwa kuwa ni Singo maza kuonja kuna umuhimu hadi unogewe Ndio maamuzi yanafuata