Mrejesho wangu wa tangazo la kutafuta mume humu

miminimama vipi mrejesho wa online dating sites za mbele, umefanikiwa kupata mume/mchumba huko?
 
Umefurahi sanaQUOTE="Heavy Metal, post: 34717084, member: 414425"]
Hahahahaaaaa daaaaah; maisha yanaenda kasi sana!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
[/QUOTE]
 
Ulichokiandika unaonekana unahitaji sana ndoa kuliko penzi, hivi dunia ya sasa hivi kuna mwanaume atakuoa pasipo kumpa mgegedo kwanza? Na nahisi wewe unaupungufu katika k yako ndo maana unataka kuwabambikia wanaume kupitia ndoa
 
Haiko hivyo.
Ni vile mtu anataka kabla hamjaonana hamjakutana hamjajuana umuhakikishie mzigo, yaani anataka mkutane Lodge siku ya kwanza.
Sasa wewe unaweza?
Ulichokiandika unaonekana unahitaji sana ndoa kuliko penzi, hivi dunia ya sasa hivi kuna mwanaume atakuoa pasipo kumpa mgegedo kwanza? Na nahisi wewe unaupungufu katika k yako ndo maana unataka kuwabambikia wanaume kupitia ndoa
 
Ulichokiandika unaonekana unahitaji sana ndoa kuliko penzi, hivi dunia ya sasa hivi kuna mwanaume atakuoa pasipo kumpa mgegedo kwanza? Na nahisi wewe unaupungufu katika k yako ndo maana unataka kuwabambikia wanaume kupitia ndoa
Sidhani kama amemaanisha hivyo, anachosema yeye wengi wanataka tendo wakati hata hawajafahamiana vizuri... Hivi mwanaume mmekutana mtandaoni meeting ya kwanza ya pili unavua chupi? Lazima mpeane muda wa kufahamiana kwanza aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Upungufu wa k ukoje Baba J
Ulichokiandika unaonekana unahitaji sana ndoa kuliko penzi, hivi dunia ya sasa hivi kuna mwanaume atakuoa pasipo kumpa mgegedo kwanza? Na nahisi wewe unaupungufu katika k yako ndo maana unataka kuwabambikia wanaume kupitia ndoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…