Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi mwenyewe nimeshangaa kwakweliHivi kweli huko mtaani umekosa kabisa?
Kuna tatizo mahaliMimi mwenyewe nimeshangaa kwakweli
Nadhani mtajiuliza wht online si mnajua tena single maza ubusy na nini na niniKuna tatizo mahali
Kuwa single maza sio tatizo Kama kweli unahitaji mume unapata tu. Ni Bora mwanaume akuchague kuliko kuhangaika kumtafuta mtandaoniNadhani mtajiuliza wht online si mnajua tena single maza ubusy na nini na nini
Eti hiyo ndio sababu yake [emoji115]
most of the people posting things such as that they want a partner majority are just doing it for fun if at all this forum is more criax we couldn't b seeing numerous post ati natafta mme,natafta mchumba but unapata wengine ni imposter'sNadhani mtajiuliza wht online si mnajua tena single maza ubusy na nini na nini
Eti hiyo ndio sababu yake [emoji115]
Mnamo mwaka jana mwezi wa 8 nliweka tangazo la kutafuta mume humu ndani nikarudia tena February mwaka huu, nilipata pm nyingi nyingi tu na nlizijibu kadri ya uwezo wangu.
Nilibahatika kuonana na wakaka wa wawili, hawa ni watu wazima kidogo miaka yao kuanzia 35 na kuendelea wa kwanza tulikutana magomeni tukaongea kupeana basic intro, wa pili tulionana alikuja mitaa ya nyumbani.
Ila hao wote nikiri tu walikuwa wanasisitiza ngono, muingiliano kimwili hata hatujajuana kivile na baadhi ya vitu hatujafahamiana wala kujuana tukaishia hewani.
Kwa kifupi ni kuwa humu kutafuta mume huwezi pata zaidi ya sex partner wanaume ni kama vile wanakuwa wanawinda wanawake, anyway kibongo bongo online dating bado sana, najiandaa kesho kwenda equity bank kufungua akaunti na kujiunga na online transactions nilipie dating sites za mambele huko naamini nitapata mume na nitaleta mrejesho humu.
Nadhani mtajiuliza wht online si mnajua tena single maza ubusy na nini na nini.
most of the people posting things such as that they want a partner majority are just doing it for fun if at all this forum is more criax we couldn't b seeing numerous post ati natafta mme,natafta mchumba but unapata wengine ni imposter's
let me teach you,writing in that way ni lugha ya mtaani meaning serious.uliza ujibiweJifunze kuandika vizuri, criax ndio nini?
Hivi kweli huko mtaani umekosa kabisa?
Kuwa single maza sio tatizo Kama kweli unahitaji mume unapata tu. Ni Bora mwanaume akuchague kuliko kuhangaika kumtafuta mtandaoni
let me teach you,writing in that way ni lugha ya mtaani meaning serious.uliza ujibiwe
I normally shorten words during any informal communication otherwise when it comes to an official communication I know what is totally expected of me.Dawa imekuingia. Ujifunze kuandika vizuri, mazoea hujenga tabia.
Hivi kweli huko mtaani umekosa kabisa?
I normally shorten words during any informal communication otherwise when it comes to an official communication I know what is totally expected of me.
the time you will come to understand what coded Language minutes I suppose you will appreciate the akwardness of the subjectYaishe baharia, ila ujifunze kuandika vizuri, maana kama unaweza kuandika criax unashindwa nini kuandika serious. Sometimes unakuta mtu anaandika K badala ya Ok, sasa hapo unakuwa umefupisha nini ?
Hii ni pijinithe time you will come to understand what coded Language minutes I suppose you will appreciate the akwardness of the subject