Mrema alikuwa anapeleka wapi pesa zake?

Mrema alikuwa anapeleka wapi pesa zake?

Mdukuzii

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2022
Posts
2,552
Reaction score
6,422
Marehemu hasemwi ila ni vizuri tujue ili tulio hai tujifunze

Alianza kazi mwaka 1966 kwenyeile idara akizuga ni mwalimu.

Mwaka 1987 akawa mbunge,1990 mbunge tena.
Akawa waziri wa mambo ya ndani na waziri wa kazi,akawa naibu waziri mkuu(cheo cha mchongo kisichokuwepo kwenye katiba)
Akawa tena mbunge wa vunjo akiwa upinzani

Usimchukulie poa,hakuwa mtu mdogo

Ongeza na hiii Mwenyekiti wa NCCR,TLP na Parole huko kote ni afisa kipenyo akizuga kuwa ni mwanasiasa wa upinzani

Ila kila siku alikuwa analia njaa hata matibabu JPM ndio alikuwa anamtibia nje ya nchi kama hisan.
Huenda mama alimsahau ndio maana akatutoka.

Kipimo cha mafanikio ni unapolala
Nyumba yake ya Kiraracha naifahamu na ile ya Sinza na Salasala kila mtu anaijua haviendani na hadhi yake

Pesa zake alikuwa anapeleka wapi?
 
Huh nasubiri majibu
giphy-downsized-large.gif
 
kwa watu fulani kila mpinzani ni 'afisa kipenyo', isipokuwa mwenyekiti wao tu, Mwamba!. Yeye hata atoe wangapi kwenda kukitumikia chama tawala hata husikii kusemwa ni 'afisa kipenyo'!

Hilo moja, pili, kwani unafahamu chochote kuhusu anavyomiliki?!!!!
 
kwa watu fulani kila mpinzani ni 'afisa kipenyo', isipokuwa mwenyekiti wao tu, Mwamba!. Yeye hata atoe wangapi kwenda kukitumikia chama tawala hata husikii kusemwa ni 'afisa kipenyo'!

Hilo moja, pili, kwani unafahamu chochote kuhusu anavyomiliki?!!!!
Nafahamu kidogo tu,shamba moshi vijijini,nyumba kiraracha na sinza
 
Marehemu hasemwi ila ni vizuri tujue ili tulio hai tujifunze

Alianza kazi mwaka 1966 kwenyeile idara akizuga ni mwalimu.

Mwaka 1987 akawa mbunge,1990 mbunge tena.
Akawa waziri wa mambo ya ndani na waziri wa kazi,akawa naibu waziri mkuu(cheo cha mchongo kisichokuwepo kwenye katiba)
Akawa tena mbunge wa vunjo akiwa upinzani

Usimchukulie poa,hakuwa mtu mdogo

Ongeza na hiii Mwenyekiti wa NCCR,TLP na Parole huko kote ni afisa kipenyo akizuga kuwa ni mwanasiasa wa upinzani

Ila kila siku alikuwa analia njaa hata matibabu JPM ndio alikuwa anamtibia nje ya nchi kama hisan.
Huenda mama alimsahau ndio maana akatutoka.

Kipimo cha mafanikio ni unapolala
Nyumba yake ya Kiraracha naifahamu na ile ya sinza kila mtu anaijua haviendani na hadhi yake

Pesa zake alikuwa anapeleka wapi?
Aliwekeza kwenye familia hasa kwenye upande wa elimu mitaji na miradi...katika familia yake hata ndugu wa karibu hakuna mnyonge hata mmoja.. Hiyo ndio turufu aliyoondoka nayo
 
kwa watu fulani kila mpinzani ni 'afisa kipenyo', isipokuwa mwenyekiti wao tu, Mwamba!. Yeye hata atoe wangapi kwenda kukitumikia chama tawala hata husikii kusemwa ni 'afisa kipenyo'!

Hilo moja, pili, kwani unafahamu chochote kuhusu anavyomiliki?!!!!
Kuhusu mrema kuwa afisa kipenyo sii jambo la kificho kila mtu anajua angalia hata CV yake mtandaoni
 
Back
Top Bottom