Mrema alikuwa anapeleka wapi pesa zake?

Mrema alikuwa anapeleka wapi pesa zake?

Marehemu hasemwi ila ni vizuri tujue ili tulio hai tujifunze

Alianza kazi mwaka 1966 kwenyeile idara akizuga ni mwalimu.

Mwaka 1987 akawa mbunge,1990 mbunge tena.
Akawa waziri wa mambo ya ndani na waziri wa kazi,akawa naibu waziri mkuu(cheo cha mchongo kisichokuwepo kwenye katiba)
Akawa tena mbunge wa vunjo akiwa upinzani

Usimchukulie poa,hakuwa mtu mdogo

Ongeza na hiii Mwenyekiti wa NCCR,TLP na Parole huko kote ni afisa kipenyo akizuga kuwa ni mwanasiasa wa upinzani

Ila kila siku alikuwa analia njaa hata matibabu JPM ndio alikuwa anamtibia nje ya nchi kama hisan.
Huenda mama alimsahau ndio maana akatutoka.

Kipimo cha mafanikio ni unapolala
Nyumba yake ya Kiraracha naifahamu na ile ya Sinza na Salasala kila mtu anaijua haviendani na hadhi yake

Pesa zake alikuwa anapeleka wapi?
Ukishajua zilipo?
 
Mwanaume usipopenda totizi sasaa utapenda nini?

Sifa ya kwanza ya mwanaume uwe na hela usiwe na hela ni kupenda wanawake. Wanawake ni zawadi ya asili ya mwanaume.

Kama Mzee Mrema alikua anapenda totozi nampongeza sana.
Kila mwanaume anapenda totoz sema wengine gawana nguvu wanazuga utakatifu
 
Ile nyumba haina hadhi ya naibu waziri mkuu mstaafu
We yako iko wapi boss?
Kuna watu wa ajabu sana sio hadhi yake kivipi mjumba ule?
Waziri mstaafu aliyehamia upinzani umesahau.
Nyie ndo washamba mliojazana kufisadi huko serikalini mnaiba mnajenga mivilla inawashinda hata kukaa wenyewe.
 
We yako iko wapi boss?
Kuna watu wa ajabu sana sio hadhi yake kivipi mjumba ule?
Waziri mstaafu aliyehamia upinzani umesahau.
Nyie ndo washamba mliojazana kufisadi huko serikalini mnaiba mnajenga mivilla inawashinda hata kukaa wenyewe.
Usipanic.kuna vyeo ukiwa navyo serikalini huitaji kuiba ila kujenga mji mzuri,mishahara na posho tu unajenga mji wako saafi
 
Back
Top Bottom