Alikuwa anapenda totozi hadi mwisho wa uhai wake.Ile nyumba haina hadhi ya naibu waziri mkuu mstaafu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikuwa anapenda totozi hadi mwisho wa uhai wake.Ile nyumba haina hadhi ya naibu waziri mkuu mstaafu
Ukishajua zilipo?Marehemu hasemwi ila ni vizuri tujue ili tulio hai tujifunze
Alianza kazi mwaka 1966 kwenyeile idara akizuga ni mwalimu.
Mwaka 1987 akawa mbunge,1990 mbunge tena.
Akawa waziri wa mambo ya ndani na waziri wa kazi,akawa naibu waziri mkuu(cheo cha mchongo kisichokuwepo kwenye katiba)
Akawa tena mbunge wa vunjo akiwa upinzani
Usimchukulie poa,hakuwa mtu mdogo
Ongeza na hiii Mwenyekiti wa NCCR,TLP na Parole huko kote ni afisa kipenyo akizuga kuwa ni mwanasiasa wa upinzani
Ila kila siku alikuwa analia njaa hata matibabu JPM ndio alikuwa anamtibia nje ya nchi kama hisan.
Huenda mama alimsahau ndio maana akatutoka.
Kipimo cha mafanikio ni unapolala
Nyumba yake ya Kiraracha naifahamu na ile ya Sinza na Salasala kila mtu anaijua haviendani na hadhi yake
Pesa zake alikuwa anapeleka wapi?
Nikuwekee ya mtoza ushuru humu kijana wa mid 70s😄😄Nyumba yake ni nzuri tu ya kawaida. Muhimu alikuwa na mahali pa kuishi standard.
Ndio baada ya kutoka Nccr mageuzi na kujiunga TLP mwenye nyumba alitangaza kuiuza so chama ikainunua na kumkabidhi Mrema kama zawadiIle ya sinza alihamia alipofukuzwa masaki 1994 au 1995
Kisukari kaja kukipata uzeeni.Na kile kisukari alikua anafunguaje zipu?
Wengine hawapendi kujenga mahekalu. Since maisha yenyewe haya ni ya muda tu si permanent. Anakula raha,anaenjoy. Anajenga nyumba ya kawaida tu.Nikuwekee ya mtoza ushuru humu kijana wa mid 70s😄😄
Mwanaume usipopenda totizi sasaa utapenda nini?Alikuwa anapenda totozi hadi mwisho wa uhai wake.
Unajikuna unapofikia hakuna asiyependa kuishi 5star hotel Serena, unajikuta tuu uwezo wako ni Lodge ya elfu 40.Wengine hawapendi kujenga mahekalu. Since maisha yenyewe haya ni ya muda tu si permanent. Anakula raha,anaenjoy. Anajenga nyumba ya kawaida tu.
Nafahamu kidogo tu,shamba moshi vijijini,nyumba kiraracha na sinza
Ni kweliMoshi vijijini hakuna mashamba bali kuna plots. Hakuna mtu huko moshi milimani anayemiliki heka 10 iliyoshikana.
Kila mwanaume anapenda totoz sema wengine gawana nguvu wanazuga utakatifuMwanaume usipopenda totizi sasaa utapenda nini?
Sifa ya kwanza ya mwanaume uwe na hela usiwe na hela ni kupenda wanawake. Wanawake ni zawadi ya asili ya mwanaume.
Kama Mzee Mrema alikua anapenda totozi nampongeza sana.
Hii ndo point sasa hakupenda kujilimbikizia mali na slogan yake ya ujamaaAlikuwa mjamaa. Wajamaa wanatabia za kutokupenda mambo makubwa.
Mrembo tunamsingizia,wanekutana uzeeni,pesa za ujanani zilifanya niniYule mrembo Kavuta hela zote....au Tuseme altihonga zote?
We yako iko wapi boss?Ile nyumba haina hadhi ya naibu waziri mkuu mstaafu
Kwani kisukari kimemuanza utotoni?Na kile kisukari alikua anafunguaje zipu?
Usipanic.kuna vyeo ukiwa navyo serikalini huitaji kuiba ila kujenga mji mzuri,mishahara na posho tu unajenga mji wako saafiWe yako iko wapi boss?
Kuna watu wa ajabu sana sio hadhi yake kivipi mjumba ule?
Waziri mstaafu aliyehamia upinzani umesahau.
Nyie ndo washamba mliojazana kufisadi huko serikalini mnaiba mnajenga mivilla inawashinda hata kukaa wenyewe.