Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakikujibu nitagNyerere alipeleka wapi hela ?
Hata hicho kiwanja cha salasala alinunuliwa na UVccm wakati huo akiwa naibu wazir mkuu nilitonywa lakin na mnene mmoja wa vijana miaka hiyoNyumbani kwake ni Salasala
Ile nyumba ya Sinza alinunuliwa na chama chake TLP
Kwani ameomba msaada wa mazishi yake?Kipimo cha mafanikio ni unapolala
Nyumba yake ya Kiraracha naifahamu na ile ya Sinza na Salasala kila mtu anaijua haviendani na hadhi yake
Pesa zake alikuwa anapeleka wapi?
Sasa INA mengi broMarehemu hasemwi ila ni vizuri tujue ili tulio hai tujifunze
Alianza kazi mwaka 1966 kwenyeile idara akizuga ni mwalimu.
Mwaka 1987 akawa mbunge,1990 mbunge tena.
Akawa waziri wa mambo ya ndani na waziri wa kazi,akawa naibu waziri mkuu(cheo cha mchongo kisichokuwepo kwenye katiba)
Akawa tena mbunge wa vunjo akiwa upinzani
Usimchukulie poa,hakuwa mtu mdogo
Ongeza na hiii Mwenyekiti wa NCCR,TLP na Parole huko kote ni afisa kipenyo akizuga kuwa ni mwanasiasa wa upinzani
Ila kila siku alikuwa analia njaa hata matibabu JPM ndio alikuwa anamtibia nje ya nchi kama hisan.
Huenda mama alimsahau ndio maana akatutoka.
Kipimo cha mafanikio ni unapolala
Nyumba yake ya Kiraracha naifahamu na ile ya Sinza na Salasala kila mtu anaijua haviendani na hadhi yake
Pesa zake alikuwa anapeleka wapi?
Ishu sio idadi ya nyumba bali mji mzuriHovyo thread. Kwahiyo ulitaka awe na nyumba ngapi!??
Unaujua huo mshahara aliokuwa nao enzi hizo ni shilingi ngapi?Hela zao za mishahara wanapelekaga wapi
Nyerere namba nyingine mtoe tu kwenye huu mlinganishoWakikujibu nitag
Wachaga hawako hivyo,labda wahindiSio kila mtu anawaza kuwekeza pesa nyingi kwenye nyumba ya kuishi, ukiweka M500 kwenye nyumba ya kuishi na mwingine akaweka 100 Halafu hizo 400 zingine akajenga za kupangisha nani ana akili?
Mjinga wewe hebu weka nyumba yako hapa tuione.Marehemu hasemwi ila ni vizuri tujue ili tulio hai tujifunze
Alianza kazi mwaka 1966 kwenyeile idara akizuga ni mwalimu.
Mwaka 1987 akawa mbunge,1990 mbunge tena.
Akawa waziri wa mambo ya ndani na waziri wa kazi,akawa naibu waziri mkuu(cheo cha mchongo kisichokuwepo kwenye katiba)
Akawa tena mbunge wa vunjo akiwa upinzani
Usimchukulie poa,hakuwa mtu mdogo
Ongeza na hiii Mwenyekiti wa NCCR,TLP na Parole huko kote ni afisa kipenyo akizuga kuwa ni mwanasiasa wa upinzani
Ila kila siku alikuwa analia njaa hata matibabu JPM ndio alikuwa anamtibia nje ya nchi kama hisan.
Huenda mama alimsahau ndio maana akatutoka.
Kipimo cha mafanikio ni unapolala
Nyumba yake ya Kiraracha naifahamu na ile ya Sinza na Salasala kila mtu anaijua haviendani na hadhi yake
Pesa zake alikuwa anapeleka wapi?
Hapo namtetea mrembo, mwaka 1966 wakati mrema yupo TISS mrembo alikuwa hajazaliwaYule mrembo Kavuta hela zote....au Tuseme altihonga zote?
Ndio matumizi sahihi ya pesa. Ukiacha mijengo na mihela ndugu watauana tuuMarehemu alikuwa anapenda sana kufungua zipu. Mungu amlaze anapostahili.
Nyerere njoo msasani uone mji wake,hekari nne kiwanja,nyerere hakuwa masikini,nyumba yake ya magomeni alijenga kabla ya uhuru imegeuzwa makumbusho ila nyumba kali sana ileMjinga wewe hebu weka nyumba yako hapa tuione.
Nyerere alikua na nyumba ngap
Unakufa huku nafsi imeridhika.Ndio matumizi sahihi ya pesa. Ukiacha mijengo na mihela ndugu watauana tuu
Ya nyerere jeIle nyumba haina hadhi ya naibu waziri mkuu mstaafu
Kabisa....pisi zimejaa duniani zinahitaje de libolo tuu.Unakufa huku nafsi imeridhika.
Ya nyerere ipi ya msasani mbona kali sanaYa nyerere je