Mrema: Kikwete aendelee kuongoza Tanzania

assadsyria3

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2013
Posts
6,905
Reaction score
4,054
Mrema ataka JK aendelee na urais Mwenyekiti wa Chama cha Tanzania Labour Party (TLP), Augustino Mrema amesema hakuna ubaya Rais Jakaya Kikwete akiacha kuongeza nchi kwa muda ili akamilishe mchakato wa Katiba Inayopendekezwa pamoja na Daftari la Kudumu la Wapigakura.

======================================




Chanzo: Mwananchi
 
Kumbe kuzeeka ni kuchanganyikiwa! Loh! Ni Mrema yupi jamani? Ni yule mzee wa kiraracha au? Yoote hayo ni ili JK ampe kiinua mgongo cha unaibu waziri mkuu?? Ama kweli, pesa yaweza kukufanya ukamkataa mamako.
Mwambiye hata JK akiibadili katiba. Oktoba ni karibu mno. Apishe jimbo la vunjo, tumekaa mda mrefu mno tukiongozwa na taayahiraaaaaa
 
Hivi nani anajua ugonjwa wa huyu mti plz
 
Ili Mrema naye aendelee kuwa mbunge wa vunjo, maana anajua bunge likivunjwa tu, Mrema hawezi kamwe kurudi bungeni labda kupitia viti maalum kama vitaendelea kuwepo.
 

Anazeeka vibaya huyu mzee bora akalime kahawa huko Vunjo
 

mtu mzima dawa mrema umenena mzee jk aendelee tu raha tupu
 
Sijui mrema amekula maharage ya wapi mpaka amevimbiwa na anaharisha tu
 

Huo msitari wa kwanza ufute kwani sio wazee wote wako kama Mrema. Huyo shida yake ni kufilisika kisiasa na wala sio uzee.
 
Omba radhi ,hajazeeka ki hivyo anaumwa na kale kaugonjwa ka siku hizi kanatafuna ubongo
 

Punda wa kisiasa huyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…