Mrema: Kikwete aendelee kuongoza Tanzania

Mrema: Kikwete aendelee kuongoza Tanzania

Mzee amezungumza ukweli, ni vema yale mambo muhimu, yamaliziwe kama watu watatumia katiba inayopendekezwa
 
Mrema ataka JK aendelee na urais Mwenyekiti wa Chama cha Tanzania Labour Party (TLP), Augustino Mrema amesema hakuna ubaya Rais Jakaya Kikwete akiacha kuongeza nchi kwa muda ili akamilishe mchakato wa Katiba Inayopendekezwa pamoja na Daftari la Kudumu la Wapigakura.

======================================





Chanzo: Mwananchi

Mrema anajua kuwa jk akiachia madaraka kabla ya uchaguzi ndio basi tena jimbo la vunjo pale kiraracha ndio mwisho wake kwani kupata hili jimbo ni huruma ya jk mwaka 2010 ,anahofia kimbunga cha ukawa kumkumba.
 
Kama hiyo ndiyo logic ya Mrema basi JK asiondoke hadi amalize kujenga reli (SGR) ya kati na miradi mingine yote aloyoinanzisha yeye!!
 
Kwanza hata kipengele cha ukomo wa madaraka tukitoe maana nchi bado changa,JK aendelee tu mbona ndani ya chama chetu pendwa Chadema tuliona kichanga tukaona tutoe kwanza mambo ya demokrasia.CHADEMA na DEMOKRASIA ni kama MBOWE na ELIMU(mbali mbali).Chadema oyeeee......

Afadhali akili ya mrema inafanya kazi kuliko ya kwako...jitafakali...
 
Naona siasa ya nchi yangu imeanza anza kunipitia kushoto kwa uzaidi na kasi kubwa

Tuombe Mungu mabaya ya kuumiza wananchi yasitokee mwaka huu.
 
Hivi Slaa akiwa rais nani atakuwa first lady, maana hajaoa bado yuko kwenye uchumba

Kiukweli namkubali Dr Slaa...ila kinachonifanya nimyime kurayangu ni huyo "the so called first lady to be"...comments zake facebook zinanipa mashaka sana na uwezowake...kwa capacity ya boyfriendwake, nilishauri sana kuwe na watu wanaopitia hizo post kabla ya kuwa released!
 
Ndani ya kichwa cha Mrema hakuna ubongo, imebaki mifupa tu. Ule ugonjwa umekula ubongo wote hivyo hawezi kufikiri.
 
Mazingira yamesha tengenezwa JK kuendelea kuwa madarakani hadi 2017....
 
We.yani ukiona ngozi ya uso wake mda hu ni kama ngozi ya mbupu.
 
Ili aendelee kumpeleka India kwa matibabu! Njaa noma.
Naona anafurahia yanayotokea Burundi ,anadhani Kikwete atakuwa raisi milele ili apate kwa kwenda kulia njaa,huyu mzee kapoteza mvuto na hata ladha ya kumuamini au kumsikiliza haipo
 
Mbafu kabisa! Umelogwa na nani? Unafikiri Watanzania wajinga??? Say it again! Usituchoshe!
 
mrema umekula mchuzi wa samaki gani? au mahaba niue kwa ccm ndiyo yanakufanya mvi zikose busara, unataka usd ifike 10000, sukari 6000 ukisema kumalizia katiba, bado reli, barabara za juu, mafuta, bandari bmy, daraja la ocean rd to oby nazo unataka muda! hakika una za kuambiwa hata zakwako!
 
Kikwete mqenyewe hana hamu naburais, angeweza kutoka kqenye urais bila scandal hata leo angetoka.
 
Mrema ana taka kujiongezea muda wa kuendelea kuwa mbunge wa jimbo la vunjo kwa kupitia mgongo wa Kikwete baada ya kugundua kuwa siku za kuendelea kuwa mbunge wa jimbo hilo zinahesabika.

you nailed it.
 
Kwani akichukua madaraka Kiongozi mwingine hawezi kuendeleza michakato ya maendeleo aliyoianzisha Mh.Kikwete??
 
Kwanza hata kipengele cha ukomo wa madaraka tukitoe maana nchi bado changa,JK aendelee tu mbona ndani ya chama chetu pendwa Chadema tuliona kichanga tukaona tutoe kwanza mambo ya demokrasia.CHADEMA na DEMOKRASIA ni kama MBOWE na ELIMU(mbali mbali).Chadema oyeeee......

Acha ujinga wa kulinganisha Chama na Taifa
 
Back
Top Bottom