Ndalama
JF-Expert Member
- Nov 22, 2011
- 8,787
- 6,538
Hivi Slaa akiwa rais nani atakuwa first lady, maana hajaoa bado yuko kwenye uchumba
Wa kwako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi Slaa akiwa rais nani atakuwa first lady, maana hajaoa bado yuko kwenye uchumba
Akili ya Mrema sawa na ngozi ya uso wake...
Kiukweli namkubali Dr Slaa...ila kinachonifanya nimyime kurayangu ni huyo "the so called first lady to be"...comments zake facebook zinanipa mashaka sana na uwezowake...kwa capacity ya boyfriendwake, nilishauri sana kuwe na watu wanaopitia hizo post kabla ya kuwa released!
Anazeeka vibaya huyu mzee bora akalime kahawa huko Vunjo
Tuna bahati mwaka 1995 hatukumchagua kuingia ikulu, maana tusingeweza kumtoa tena kwa kura! Utamjua tu dikteta kwa vitendo na maneno yake! Asante baba wa taifa kwa kutuokoa na balaa hili.
Hivi Slaa akiwa rais nani atakuwa first lady, maana hajaoa bado yuko kwenye uchumba
Kwanza hata kipengele cha ukomo wa madaraka tukitoe maana nchi bado changa,JK aendelee tu mbona ndani ya chama chetu pendwa Chadema tuliona kichanga tukaona tutoe kwanza mambo ya demokrasia.CHADEMA na DEMOKRASIA ni kama MBOWE na ELIMU(mbali mbali).Chadema oyeeee......
Mrema ataka JK aendelee na urais Mwenyekiti wa Chama cha Tanzania Labour Party (TLP), Augustino Mrema amesema hakuna ubaya Rais Jakaya Kikwete akiacha kuongeza nchi kwa muda ili akamilishe mchakato wa Katiba Inayopendekezwa pamoja na Daftari la Kudumu la Wapigakura.
======================================
Mrema hana habari kuwa JK alishasema kuwa amechoka na anatamani muda wake wa urais umalizike?!
Kama hali ndiyo hiyo, akiongezewa muda tunategemea afanye kazi kwa ufanisi wa kuridhisha?!
Mrema anajipendekeza tu kwa JK, kwa sababu anazozijuamwenyewe!
Ukimsikiliza hata anavyo lalamina kuhusu ubunge jimboni kwake kuingiliwa, utajua kujimilikisha ni yaleyale ya kujimilikisha. Labda anadamu ya kimangi Mangi.Uenyekiti wa TLP anasema jeneza ndio litamtoa
Sasa pia kuna video za wabunge wa ccm wanasema aongezewe muda, nmeingia YouTube sijaiona.Mkuu Mbaga Jr nimeamini maneno yako. Uzi wenyewe ni huu?
Sema mzee Mrema kuna muda alitukosea sana 😁