Mrema: Kikwete aendelee kuongoza Tanzania

Mrema: Kikwete aendelee kuongoza Tanzania

Omba radhi ,hajazeeka ki hivyo anaumwa na kale kaugonjwa ka siku hizi kanatafuna ubongo

masonya;
Acha niombe radhi. Nlidhani ati ni uzee kumbe ni kale ka kitu kanamla ubongo!! Pole zake tu jamani. Mwambie amwombe Mola wake angalao amalize ubunge huu apewe kiinua mgongo chake amwachie mkewe kama yeye ni salama.
 
Tamko la UKAWA kuwa kuna mpango wa kumuongezea muda JK .....ndio limeanza kupigiwa Chapuo .......
 
Tuna bahati mwaka 1995 hatukumchagua kuingia ikulu, maana tusingeweza kumtoa tena kwa kura! Utamjua tu dikteta kwa vitendo na maneno yake! Asante baba wa taifa kwa kutuokoa na balaa hili.
 
Kwanza hata kipengele cha ukomo wa madaraka tukitoe maana nchi bado changa,JK aendelee tu mbona ndani ya chama chetu pendwa Chadema tuliona kichanga tukaona tutoe kwanza mambo ya demokrasia.CHADEMA na DEMOKRASIA ni kama MBOWE na ELIMU(mbali mbali).Chadema oyeeee......
 
Anafikiri ndio atalipwa pensheni hewa? Akatibiwe hao bacteria wanaokula ubongo wake.
 
huyu mzee kazeeka aende tu kupumzika hatuachie nchi yetu .inaonekana haoni hali ilivyo mbaya kiuchumi .na sh kila cku inapolomoka kutoka na uongozi mbovu wa awamu ya 4 .wizi ni wa hali ya juu .na ufisadi ndiyo umekithili na hakuna hatua zzt wanazuchukuliwa watuumiwa
 
Hakuna mtawala anaeweza kumaliza mambo yote aliyoyaanzisha, mwenyewe labda tuwe na mtawala endelevu.

Anaweza akaanzisha akamaliza baadhi ya mambo aliyoyaanzisha na yule atakayemfuata ana kujakuendeleza pale mwenzake alipoishia na kuanzisha mambo mengine kadri anavyoona inafaa.

Tukisubiri mtawala amalize yale aliyoanzisha kwanza, ndiyo tumchague mtawala mwingine huo utakuwa ndio mwanzo wa kuanzisha utawala wa kifalme kwa kuwa mwisho wa jambo moja ndio mwanzo wa jambo lingine.
 
Mrema ana taka kujiongezea muda wa kuendelea kuwa mbunge wa jimbo la vunjo kwa kupitia mgongo wa Kikwete baada ya kugundua kuwa siku za kuendelea kuwa mbunge wa jimbo hilo zinahesabika.
 
Mrema ataka JK aendelee na urais Mwenyekiti wa Chama cha Tanzania Labour Party (TLP), Augustino Mrema amesema hakuna ubaya Rais Jakaya Kikwete akiacha kuongeza nchi kwa muda ili akamilishe mchakato wa Katiba Inayopendekezwa pamoja na Daftari la Kudumu la Wapigakura.

======================================





Chanzo: Mwananchi
kweli nimeamini binadam kadiri umri unavoenda na uwezo wa aliki unarudi nyuma si bora angevaa gamba tu tujue moja siyo kuwa kibaraka
 
Mrema ataka JK aendelee na urais Mwenyekiti wa Chama cha Tanzania Labour Party (TLP), Augustino Mrema amesema hakuna ubaya Rais Jakaya Kikwete akiacha kuongeza nchi kwa muda ili akamilishe mchakato wa Katiba Inayopendekezwa pamoja na Daftari la Kudumu la Wapigakura.

======================================





Chanzo: Mwananchi


hata mimi sioni tatizo , ni busara tu zitumike
 
Huyo Mrema siku zote ni kibaraka, mwoga na mvivu kutumia akili yake. Kikwete hakuchaguliwa kwaajili ya kutupatia katiba mpya. Kwanza hakuwahi kuahidi wakati wa kampeni zake...kadandia tu!
 
Pamoja na kujua safari yake imekwisha mwaka huu, paragraph ya 8 kwenye maneno yake alijijua kuwa ni BUNDI, maana huyo ndege akionekana mnajua kifuatacho...!!
 
Mrema ana taka kujiongezea muda wa kuendelea kuwa mbunge wa jimbo la vunjo kwa kupitia mgongo wa Kikwete baada ya kugundua kuwa siku za kuendelea kuwa mbunge wa jimbo hilo zinahesabika.

Presha ya Mbatia itammaliza huyu mzee
 
Back
Top Bottom