Ndikwega
R I P
- Feb 1, 2012
- 5,979
- 5,527
Hivi weww upo ACT- YUDa ama CCM- Magamba maana kote naona unaunga mkono! Mna taabu kweli safari hii Maccm.Kwanza hata kipengele cha ukomo wa madaraka tukitoe maana nchi bado changa,JK aendelee tu mbona ndani ya chama chetu pendwa Chadema tuliona kichanga tukaona tutoe kwanza mambo ya demokrasia.CHADEMA na DEMOKRASIA ni kama MBOWE na ELIMU(mbali mbali).Chadema oyeeee......