Hivi weww upo ACT- YUDa ama CCM- Magamba maana kote naona unaunga mkono! Mna taabu kweli safari hii Maccm.Kwanza hata kipengele cha ukomo wa madaraka tukitoe maana nchi bado changa,JK aendelee tu mbona ndani ya chama chetu pendwa Chadema tuliona kichanga tukaona tutoe kwanza mambo ya demokrasia.CHADEMA na DEMOKRASIA ni kama MBOWE na ELIMU(mbali mbali).Chadema oyeeee......
Ili Mrema naye aendelee kuwa mbunge wa vunjo, maana anajua bunge likivunjwa tu, Mrema hawezi kamwe kurudi bungeni labda kupitia viti maalum kama vitaendelea kuwepo.
Uzee una style nyingi jamani! huyu anaweza kuiona 6 akazani 9 kumbe yeye ndie kainama!
Kikwete usikubali kabisa, ukiisha muda wako ondoka waachie wagalatia waendelee kuiba wapendavyo.
Kikwete usikubali kabisa, ukiisha muda wako ondoka waachie wagalatia waendelee kuiba wapendavyo.
Hivi Slaa akiwa rais nani atakuwa first lady, maana hajaoa bado yuko kwenye uchumba
It's very trueTuna bahati mwaka 1995 hatukumchagua kuingia ikulu, maana tusingeweza kumtoa tena kwa kura! Utamjua tu dikteta kwa vitendo na maneno yake! Asante baba wa taifa kwa kutuokoa na balaa hili.
Ili aendelee kumpeleka India kwa matibabu! Njaa noma.
ahaha hilo nalo neno!!labda anajua hawezi kushinda,tukisema Tanzania hakuna Upinzani wa kweli watu wanakutukana,watu wamekalia Ruzuku tu.
JK aongezewe miaka mitano mingine, Watanzania bado tunampenda sana