Mrema: Kikwete aendelee kuongoza Tanzania


VP issue ya kagenzi imeishia wsp
 
Tuna bahati mwaka 1995 hatukumchagua kuingia ikulu, maana tusingeweza kumtoa tena kwa kura! Utamjua tu dikteta kwa vitendo na maneno yake! Asante baba wa taifa kwa kutuokoa na balaa hili.

Uenyekiti wa TLP anasema jeneza ndio litamtoa
 
Sasa hapo kuna mpinzani,si arudi tu CCM ,maana ameshindwa kujificha kabisa,ameona tu alipe fadhira waziwazi
 

Una Mimba ya Mbowe wewe sio Bure
 
 
Huyu kiumbe wala si wa kumjadili tena,hakuna mtu humo ni kasha tu hilo...!!
 
Hapa Sasa Naanza Kulia Na Babu Wa Liliondo, Huyu Mzee Alidai Amepona Sasa Mbona Kimemludia?
 
Uenyekiti wa TLP anasema jeneza ndio litamtoa
Ukimsikiliza hata anavyo lalamina kuhusu ubunge jimboni kwake kuingiliwa, utajua kujimilikisha ni yaleyale ya kujimilikisha. Labda anadamu ya kimangi Mangi.
 
Mkuu Mbaga Jr nimeamini maneno yako. Uzi wenyewe ni huu?

Sema mzee Mrema kuna muda alitukosea sana 😁
 
Mkuu Mbaga Jr nimeamini maneno yako. Uzi wenyewe ni huu?

Sema mzee Mrema kuna muda alitukosea sana 😁
Sasa pia kuna video za wabunge wa ccm wanasema aongezewe muda, nmeingia YouTube sijaiona.

Ila ndo hvy, za JPM zipo nyingi kutokana na aina ya utawala wake ulivyokuwa tofauti na Kikwete ndo mana hapakuwa na kelele nyingi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…