Skudu makudubela
JF-Expert Member
- May 20, 2023
- 561
- 1,112
@ms eyes kadi ya mwaliko nimekupaNipo hapa kaunta, napata nyama kidogo huku nimeshikilia 'glass' ya 'red wine', nikitafakari kusudi la kuumbwa ulimwengu pamoja na viumbe vyake.
Sipendi kuwa mchoyo kwa sababu sijafunzwa hivyo; mrembo yeyote anayejiamini na kujiona amependeza kuliko wote, namkaribisha hapa meza kuu.
Nawatakia jumapili njema,
Nawasilisha.
Mbona wewe upo π πWarembo wametoka out[emoji28][emoji28]umechelewa
Labda atakuwa hajapendeza π@ms eyes kadi ya mwaliko nimekupa
Huoni unavyohangaika kunusa nusa harufu za warembo?Kwa nini mkuu?
Mungu alivyooona adam yuko mpweke, akamtafutia mwanamkeHuoni unavyohangaika kunusa nusa harufu za warembo?
Ni mwanamke ndio, siyo wanawake.Mungu alivyooona adam yuko mpweke, akamtafutia mwanamke
AbegπππππWe ata ukija na nguo ya kulalia hakuna shida π
Moyo unaniambia kuwa leo umependeza kuliko wote, njoo tugonge cheersAbegπππππ
NjooNjoo nikuone
Moyo wako unakudangnyaMoyo unaniambia kuwa leo umependeza kuliko wote, njoo tugonge cheers
Wewe ndio unatakiwa uje meza kuu, ukiwa umetokelezea mpaka malaika waimbe zile nyimbo zao πNjoo
Mara nyingi hisia huwa hazidanganyi πMoyo wako unakudangnya
Sina nyota hiyoTafuta aliyependeza zaidi, utoke naye
ha ha ha, hao ndio wazuri waje watupe baraka za huko watokako.Wako kwenye sikukuu yao ya mikaeli na malaika, ngoja watoke, wengine ni waalim.
Unategemea nani awatoe 'out'? acha kuwabagua πSina nyota hiyo
Mbona wewe upo π π
Hicho hicho ndio kizuri πNipo na kijora
Na wazeeUnategemea nani awatoe 'out'? acha kuwabagua π
Wazee hawana nguvu sasaNa wazee