Ms eyes
JF-Expert Member
- Feb 4, 2023
- 4,757
- 11,922
Sasa hivi amehamia Kenya😂Anakudanganya chuma chake, ila Fifi anaishi dunia ya peke yake 🤣🤣🤣
Anamfaa sana mshamba
Ngoja tunyamaze tusije tukaletewa vichambo hapa.😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa hivi amehamia Kenya😂Anakudanganya chuma chake, ila Fifi anaishi dunia ya peke yake 🤣🤣🤣
Anamfaa sana mshamba
🤣🤣🤣Michongo gani na sisi mtupe jamani 🤣🤣🤣
Umekomaa mwenyewe unamsubiri umuoe khaaaaaa!!
Ukisikia sauti yangu tu, mwili wote utatetemeka, na sehemu zote kulowana 😀Pole sana
😳 kulala wapi?Nitakuambia utakapokuja kulala 😀
Wala hata🤣. Palipotulia sana panachosha piaHata sina ujanja wowote Ms, muhimu nikutoe out palipotulia sana🤣🤣🤣
Wenzetu wanavuka boda siku hizi hawasemi 🤣🤣🤣Sasa hivi amehamia Kenya😂
Ngoja tunyamaze tusije tukaletewa vichambo hapa.😂
Uoga wako ndio umasikini wakokumbe
ntajilipua tu siku moja, potelea pote
wala hata, kuna mtu mwingine toooofauti😁Michongo gani na sisi mtupe jamani 🤣🤣🤣
Umekomaa mwenyewe unamsubiri umuoe khaaaaaa!!
Na muandiko nimebadilisha nilivyoambiwa kuwa mimi ni Mkenya🤣.Wenzetu wanavuka boda siku hizi hawasemi 🤣🤣🤣
Tunyamaze asije kutuchambua
Leo natafuta aliyependeza tu 😀yule suria wako mwenye mimba anaendeleaje?
Nimecheka kwenye kujikunia mswaki 🤣🤣🤣
🤣🤣🤣 ila ni pisi kali kinomaNimecheka kwenye kujikunia mswaki 🤣🤣🤣
Fifi wifi yangu tuko pamoja usije kunichamba, wote tuna wanaume wa chugga chonde chonde mwanakwetu 😂
Ko Fifi unamdanganya? Subiri aje hapa 🤣🤣🤣wala hata, kuna mtu mwingine toooofauti😁
sasa mzee si unazama pm, kwani zamani mlikua mnafanyajeLeo natafuta aliyependeza tu 😀
🤣🤣🤣🤣🙌🙌Na muandiko nimebadilisha niliyoambiwa kuwa mimi ni Mkenya🤣.
🙊🙊🙊
mimi sipo, mtasababishiana banKo Fifi unamdanganya? Subiri aje hapa 🤣🤣🤣
nipumzisheniNa muandiko nimebadilisha nilivyoambiwa kuwa mimi ni Mkenya🤣.
🙊🙊🙊
Tunyamaze😂🤣🤣🤣🤣🙌🙌
Wewe utachambwa me simo