Wanakuogopaa ndio maana wanaenda mtaa wa pili kumbe wanapitaga Huku hahahahahahahaha
hv yule anampenda nani?zaidi ya ye mwenyewe na huyu nasritio yaonekana ni ndugu yake mange kwa mama ake
Hahahaaaaa na wananiogopa kweli.Mtu kama anajiamini aje ajaribu huu mziki dadadeki atajuta!Sina muda wa kwenda kuchambana na mashangingi ya kwenye blogs mimi.
mwisho kutembelea makaburini alikolala dec 26 last year mama angu mlezi leo nimemtumia pesa ya asante kunilea?una lingine?
Nadhani ushamjua anayekipaka kwa mange@geniveros....hapa hamana alomtukana mange je tungesema tutukane chiz na mwenye akili timamu angejulikanaje!
sio mange huyu ila ni mtu wake karibu sana huyu mi nampendaga tu huyu dada sifichi ila ananikera ana matusi huyu nyasamaki usihis najipendekeza kwako wala na ht usiponipenda shauri yako
Matola achana na mental case yuke
This is big for you, stay away wacha mafuta na maji vijitenge.
Hata mimi nakupenda unaonekana Mwanamke kamili kwenye baadhi ya Issues ila kulalia Upande MMoja akisemwa Mange au Wema ndio hapooo hatuongei lugha Moja ! sioni uzuri wa chizi Linda hata siku moja ......anashindana na Mange mpaka anaonyesha kweli Passport ! No No nao machizi tu Anyway maisha tu
Hahahahaaaa uwiiiiiii ngoja nitegeshe alarm kabisa.
Please Matola usitudissapoint ankal wangu!
Ni iviii, bata maji ukimkera humu anashindwa kukuqote anaenda kukusema kule...
Pole Mwaya .....Ubarikiwe kwa Moyo huo Mpendwa Mungu akufanye uwe Mpatanishi si mchocheaji moto Mamii
Mithali 18:24
ahaaa kumbe wee humpendi lindaaa?!!
Hahahahaaaa na watanisoma mpaka mwisho.Watu wanafki sana.Eti anajidai wala hayupo huku ila atajiunga kwa ajili ya Nyani Ngabu.
Aseme tu anataka bwana.Utajiungaje JF sababu ya mwanaume?
eeeheee full mishungi wengine alafu wanatukana watu ig yani sikutegemea msichana kama yule atukane watu sasa muone mumewe khaa mungu anisameeNgachoka Mie in Frola Voice , haya ohoo Mange Mashauzi nao watu wazima wanaposti saa na cheni za Gold IG ! Kweli unapost Sebule yaani imejaa hata haieleweki ! sasa nayo kama si Mashauzi ni nini vile? Maonyesho ya sabasaba ?? Sijawahi ona kina Nancy sumari na kundi lake wamecomment kwenye ujinga ,na wanachambwa sana why ? sababu hao ndio waliostaarabika , ila yeyote anayebishana na Mange yeye ndiye chizi nambari moja ! Hebu fueni hata Boxer za waume zenu bwana achaneni na ushabiki Maandazi , Ndao zenyewe za Kibongo !
Hahahahahahahaha basi kama ni mtu wake wa karibu amwambiee aache kuvua nguo wanawake wenzio mbona hilo yeye alionii na hii Vita hawezi kushinda kuna watu ni vichaa kuliko yeye na tutaendeleaa kucomment tu mie sina haja ya kwenda kwenye Blog lake hapahapa pananitosha!!! Loh
Siyo leo kitanuka siku hizihizi.
Am the Man take my word, i never fail to fulfill any promise i promised.