Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,020
- 79,098
mbona namjua kitambooo sio leo na hanipi shida wanasema ukimjua mbwa jina unamwita bobyyy bobyyu
Shoga nina hamuje na wewe huko chemba?Kuna maubuyu kibao nimewahi kusema nitakutafuta nasahau.Ila huu naomba uwe mmojawapo please!Nataka nimjue huyo pashkuna.