Mrembo live interview on muosha rungu show

Niliyafurahia kiasi kama asilimia 50 tu.......nlikosa upendo wa baba so kwa sasa naona kama vile dah sijui nisemaje
50% only
Kwann upendo wa baba
Baba alikuaje?

DJ sepetu
 
Pole sana zesh!
Mama yako unamkumbuka kwa nn hasa utotoni mwako Na sasa?
Je yeye ni kati ya mama bora?

DJ sepetu
Namkumbuka kwa kunipa malezi mazuri na yenye maadili na sasa nazidi kumkumbuka kwa kua ndiye aliyenisomesha kuanzia mwanzo mpk nlipofikia napenda kumshukuru na kumtakia maisha mema na marefu hapa duniani....yeye ni mama bora
 
Namkumbuka kwa kunipa malezi mazuri na yenye maadili na sasa nazidi kumkumbuka kwa kua ndiye aliyenisomesha kuanzia mwanzo mpk nlipofikia napenda kumshukuru na kumtakia maisha mema na marefu hapa duniani....yeye ni mama bora
Hongera mama yetu!
Tukio gani la kufurahisha unalikumbuka sana!
Kwann kama lipo

DJ sepetu
 
Bahati mbaya kuna mvuvi hodari alishafika kitambo akavua mpk mayai ya samaki
Kweli we mmatumbi.

Naomba kazi yakuanza kufuga samaki kwenye kisima cha moyo wako maana uyo mvuvi kavua mpaka mayai.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…