Mrembo Nargis Mohamed akiri kuwahi kuwa mpenzi wa Masoud Kipanya

Aliandika baada ya kula na kushiba au siyo? Acha nasi tule tushibe kwanza.
Ndiyo ile ya matajiri kusema hawana furaha na kuwa eti masikini wana furaha na wanawaonea wivu masikini[emoji23] porojo tupu[emoji2]
 
Huyu mwanadada alikuwa na uwezo mkubwa sana wa kuigiza. Aliigiza vizuri sana filam ya magic house na kanumba na pia kwenye ule wimbo wa prof. Jay. Lakini aliishia kufanya movie 3 tu. Nadhani aligundua sanaa ya bongo ni kazi ya kipumbavu.
Why ni kazi ya kipumbavu mkuu?
 
Daaaaaah! Aisee kama kuna watakaopitisha hili, hao hata makaburi yao yatatakiwa yachapwe fimbo na vizazi vijavyo.
 
Yaani yeye kawanyandua wakutosha [emoji1787][emoji1787]sisi kwetu ni ubatili mtupu sio haki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…