Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 16,096
- 49,651
Hataki tuonje lad ladha za mataifa tofauti tofauti 😅Yaani yeye kawanyandua wakutosha [emoji1787][emoji1787]sisi kwetu ni ubatili mtupu sio haki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hataki tuonje lad ladha za mataifa tofauti tofauti 😅Yaani yeye kawanyandua wakutosha [emoji1787][emoji1787]sisi kwetu ni ubatili mtupu sio haki
Ndo yule wa woman of principlesHuyu mwanadada alikuwa na uwezo mkubwa sana wa kuigiza. Aliigiza vizuri sana filam ya magic house na kanumba na pia kwenye ule wimbo wa prof. Jay. Lakini aliishia kufanya movie 3 tu. Nadhani aligundua sanaa ya bongo ni kazi ya kipumbavu.
💯🤝Mkuu ukiwa na hela unaweza kuwakusanya hata Wanawake 10 kwa siku.
Unadhani Mfalme Suleiman asingekuwa na Hela angeweza kuwa na wanawake 700 na nyumba ndogo 300?
Ila baada ya kuwala wote hao baadaye akaja kuandika kitabu cha Mithali kutuonya Mimi na wewe kuwa "Yote ya Dunia ni kujilisha Upepo" 😅
Walimfanya aanze kuabudu miungu ya uongo alikuwa anaoa wanawake na michepuko ya mataifa ya kipaganiHahahaha..............itakuwa alifiriswi na hao warembo wake 1000 akaona atuonye akina Sisi 😅
Na wenye hela baadhi yao wanawakula bure tu.Wala si jambo la ajabu mwanamke atafata kwako fame, security, upendo, muonekano. So ukiwa na kimoja kati ya hivyo utawakula tuu
Hiyo sio nyota bali ni ulimbukeni. Mtu anayetoka katika familia maskini akipata kidogo inakuwaga shidaSource: TBC Television.
Aliyewahi kuwa Miss Ilala mwaka 2003, Nargis Mohamed akiri kuwahi kuwa mpenzi wa Mtangazaji wa Clouds FM Masoud Kipanya.
Nargis ameyakiri hayo Jana usiku akihojiwa na Mtangazaji wa TBC Halid Bangala. Hata hivyo Nargis Mohamed amesema kwa sasa hana tena uhusiano na kimapenzi na Masoud Kipanya isipokuwa hayo yalitokea zamani bila kutaja mwaka.
Huyu Masoud Kipanya ana nyota ya wanawake sio bure.
So what!Aliyewahi kuwa Miss Ilala mwaka 2003, Nargis Mohamed akiri kuwahi kuwa mpenzi wa Mtangazaji wa Clouds FM Masoud Kipanya.
Nargis ameyakiri hayo Jana usiku akihojiwa na Mtangazaji wa TBC Halid Bangala. Hata hivyo Nargis Mohamed amesema kwa sasa hana tena uhusiano na kimapenzi na Masoud Kipanya isipokuwa hayo yalitokea zamani bila kutaja mwaka.
Kumbe ni kimoja tu si lazima vyote?
[emoji419]
Na wenye hela baadhi yao wanawakula bure tu.
Prof Jay zali la mentali ..ile pisi yake .Umeandika kana kwamba uyo nagris kila mtu humu anamjua[emoji848]
Mzee alikuwa kauzu kinoma hataki watu wale starehe kama yeye[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ndio wale wazee wanaosema mtoto hana ruhusa kula firigisiMkuu ukiwa na hela unaweza kuwakusanya hata Wanawake 10 kwa siku.
Unadhani Mfalme Suleiman asingekuwa na Hela angeweza kuwa na wanawake 700 na nyumba ndogo 300?
Ila baada ya kuwala wote hao baadaye akaja kuandika kitabu cha Mithali kutuonya Mimi na wewe kuwa "Yote ya Dunia ni kujilisha Upepo" [emoji28]
Hahaha..............na hakuna aliyeweza kufikia Idadi yake hata kama umeanza kudate baada ya barehe 😅Mzee alikuwa kauzu kinoma hataki watu wale starehe kama yeye[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ndio wale wazee wanaosema mtoto hana ruhusa kula firigisi
Sasa huyo Muuza mwili kwani ni kipanya tu aliyepita nae?Source: TBC Television.
Aliyewahi kuwa Miss Ilala mwaka 2003, Nargis Mohamed akiri kuwahi kuwa mpenzi wa Mtangazaji wa Clouds FM Masoud Kipanya.
Nargis ameyakiri hayo Jana usiku akihojiwa na Mtangazaji wa TBC Halid Bangala. Hata hivyo Nargis Mohamed amesema kwa sasa hana tena uhusiano na kimapenzi na Masoud Kipanya isipokuwa hayo yalitokea zamani bila kutaja mwaka.
Huyu Masoud Kipanya ana nyota ya wanawake sio bure.
Sasa Masoud zama hizo akiwa na Nargis, alitoa wapi hela ilihali alikuwa hana ile kampuni ya Motors?Mkuu ukiwa na hela unaweza kuwakusanya hata Wanawake 10 kwa siku.
Unadhani Mfalme Suleiman asingekuwa na Hela angeweza kuwa na wanawake 700 na nyumba ndogo 300?
Ila baada ya kuwala wote hao baadaye akaja kuandika kitabu cha Mithali kutuonya Mimi na wewe kuwa "Yote ya Dunia ni kujilisha Upepo" 😅
Nani kakuambia anauza mwili? Mbona Anaonekana muungwana Sana?Sasa huyo Muuza mwili kwani ni kipanya tu aliyepita nae?