Mrembo Sanchoka asema hajui kupika ugali

Mrembo Sanchoka asema hajui kupika ugali

brave one

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2013
Posts
4,879
Reaction score
7,386
Mrembo mwenye shepu ya kuvunja chaga wa bongo Sanchoka amesema katika malezi yake hajawahi wala hajui namna ya kupika ugali.
Sanchoka anasema ugali kula najaribu ila kupika sijui kabisa
23622258_2167879183226488_1723703357560297339_n.jpeg

Mrembo huyo alisema mwanaume atakae muoa lazima ajiandae kulipa mahali zaidi ya millioni 10
 
Anajua kupika nini kama ugali hawezi?

Mahari ya milioni 10 ni ya kumchukua yeye na wazazi wake?

Kwani anauza nini cha gharama hivyo?
Punguza jazba mkuu, kulikuwa hamna ulazima wa kuwaweka wazazi wake.
Yeye kajiangalia kwenye kioo, akaona thaman ya hilo nundu linafikia mil 10... ana haki ya kujipa value anayotaka hata kama haiakisi ukweli.
 
duuuh[emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
 
Huyu sindo walisema anataka kuolewa kwa 10 millions?
Au huko kwenye ndoa alijua ni kuimba kwaya[emoji23]
 
Nimemuelewa ntaowa hvyohvyo na ugali utakua marufuku kwenye nyumba yetu..... Kwan vp mbona watu mnalazimisha ugali et?
 
[emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]mahari
ml.10 kwa Kipi hasa alichonacho hiyo shape mana sura yenyewe inasikitisha[emoji30] afu zaidi hajui kupika Hahah Mwanaume atayemuoa atakuwa hajielewi nae[emoji57][emoji57]
 
[emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]mahari
ml.10 kwa Kipi hasa alichonacho hiyo shape yakuchonga mana sura yenyewe inasikitisha[emoji30] afu zaidi hajui kupika Hahah Mwanaume atayemuoa atakuwa hajielewi nae[emoji57][emoji57]
Usimfukuzie mwenzio wachumba bwana!
 
Back
Top Bottom