Mrembo Sanchoka asema hajui kupika ugali

Mrembo Sanchoka asema hajui kupika ugali

Yaaan huyu manzi bas tu ningeshtuka mapema kama angekuja kutrend hivi......
 
nataka nimpe madongo uyu sanchoka...ila kila nikiona msambwanda....natengua kauli
 
Huyo ndiye mrembo anaehitaji mahari ya milioni kumi ili aolewe!!
 
Atakae kwenda kuoa huyo kahaba naye hana akili,au atakuwa kahaba mwenzie
 
Nini cha kumtolea 10 mil sielewi kabisa au anakunya gold
 
Mrembo mwenye shepu ya kuvunja chaga wa bongo Sanchoka amesema katika malezi yake hajawahi wala hajui namna ya kupika ugali.
Sanchoka anasema ugali kula najaribu ila kupika sijui kabisa
View attachment 632107
Mrembo huyo alisema mwanaume atakae muoa lazima ajiandae kulipa mahali zaidi ya millioni 10
Ina tv na WiFi ndani yake??!
 
Sasa akitokea msukuma anamahali ml10 na anamuoa itakuaje sasanmaana wasukuma bila ugali hujafanya kitutenaile kitu ambao inakua kama half cake
 
Back
Top Bottom