ABJ
JF-Expert Member
- Aug 29, 2017
- 4,891
- 13,750
Haha labda mwenzetu biashara yake inamlipa Sana huoni pesa aloitaja tu kwa ajili yamahari Ila Hakuna marefu yasiyo na ncha lakinMkuu kupanga ni kuchagua. Na mtoto umleavyo..... Bahati mbaya ya hii profession haiwezi kudumu! Na mapato yake huwezi kuyatumia kuinvest hivyo mwisho wake huwa ni mbaya. Uzuri ni kama ua tu na Ukimwi Nje Nje