Mrembo Sanchoka asema hajui kupika ugali

Mrembo Sanchoka asema hajui kupika ugali

Kwa hiyo ndiyo ana maanisha ametoka familia zaidi ya bora au siyo wa Nchi hii?,katoka ughaibuni!,Mwanamke kama huyu sijui kama atapata Bwana maishani mwake na kama akipata itakuwa ya muda,maana kwa mikogo hiyo ndoa ndoto
 
Hali imekua mbaya kila mahali, promo kama hizi lazima ili akumbukwe nae yupo.
Huku kwetu uswazi kuna watoto wazuri kumshinda yeye, kinachombeba ni huo ucelebrity wa kuonekana tu mitandaoni zaidi ya hapo hakuna jipya
 
Kwa hiyo ndiyo ana maanisha ametoka familia zaidi ya bora au siyo wa Nchi hii?,katoka ughaibuni!,Mwanamke kama huyu sijui kama atapata Bwana maishani mwake na kama akipata itakuwa ya muda,maana kwa mikogo hiyo ndoa ndoto
hao mkuu ndo mwisho wa siku wamefka miaka 40hawajaolewa....wanajkuta wamezalishwa na waganga wa kienyeji
 
Watu wengine bwanaa,.huna budi kucheka na kuyaacha kama ulivyoyakuta.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ngachoka mie mamy mumu.
 
Mrembo mwenye shepu ya kuvunja chaga wa bongo Sanchoka amesema katika malezi yake hajawahi wala hajui namna ya kupika ugali.
Sanchoka anasema ugali kula najaribu ila kupika sijui kabisa
View attachment 632107
Mrembo huyo alisema mwanaume atakae muoa lazima ajiandae kulipa mahali zaidi ya millioni 10
pale makalio yanapochukua nafasi ya kichwa kufikiri...uyu demu na ebitoke...nachagua ebitoke
 
Punguza jazba mkuu, kulikuwa hamna ulazima wa kuwaweka wazazi wake.
Yeye kajiangalia kwenye kioo, akaona thaman ya hilo nundu linafikia mil 10... ana haki ya kujipa value anayotaka hata kama haiakisi ukweli.
Halafu utakuta nundu lina harufu ya shombo la mavi
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] mahari milion woooot!!!? [emoji38][emoji38][emoji38]
 
Kuamua kuoa ni kazi na kuamua kuolewa ni kazi vilevile, ila kwa mwanamke kutojua kupika ugali ni aibu sana, huenda mwanaume atakayemuoa hatojali hilo ila MIMI HUYU, narudia tena MIMI HUYU HAPA NINAVYOPENDA KA UGALI NA ZILE MBOGA tena naweza nikala USIKU NA JIONI halafu uje unambie HUWEZI PIKA UGALI AU HUJUI ahahah unakuwa useless kabisa hufai kuingia ndani kwangu, kwanza kuja kunitembelea kama mgeni na ukae kwangu siku kadhaa na usipike ugali ahah maana yake mimi ndio nipike tule wote, nina wasiwasi hata kuosha vyombo hajui na akijua haoshi vizuri vinabaki na mafuta , shombo na sabuni ili ukivitumia tena utaharisha usiku kucha. apite hivi kuleeeeeee
 
Back
Top Bottom