Mrembo wa chuo akosa zawadi ya gari kwenye mahafali yake. Binti zetu mmekuwaje?

Huyo ana tofauti na wale wadada wanaopost status ya bwana yake halafu anaifunika na emoji sura.

Kiuhalisia huwa sielewi wanafanya hivyo kwanjni ila nadhani wa jinsi hii hawana tofauti na huyo binti.

Hata ongea ya huyo binti inaonekana ni ya mashaka sasa usikute kuna bwana kagharamia sherehe mwingine kapigwa block siku ya sherehe, hadi iishe ndio atafutwe.

Just wondering kizazi cha vijana kinaenda wapi.
 
Huwa sirudi nyuma atabaki kuwa mshikaji tu kanivunja moyo sana, akirudi atateseka bure
Ko umesarenda? 🀣🀣🀣🀣
Sema na wewe umezidi kaka angu kila manzi wako πŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈ
 
Ko umesarenda? 🀣🀣🀣🀣
Sema na wewe umezidi kaka angu kila manzi wako πŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈ
Wananipenda nifanyeje?
Nimezaliwa kuwapa amani asee, mimi ni mtume na nabii wao ujueπŸ˜‚πŸ˜‚
 
Alimrahisishia swali akasema okay usimtaje tu mpenzi wako bali mtaje yule mwenye hela hela, bado akakosea. Kudadeki kawapanga vibompa kama wote πŸ˜‚
 
Ko umesarenda? 🀣🀣🀣🀣
Sema na wewe umezidi kaka angu kila manzi wako πŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈ
Unampa makavu live au sio?Leo naona ni mwendo wa kunguni tu Glenn 🀣🀣🀣🀣🀣🀣.....We katoto muache X wangu
 
Anadai alipakia demu mbovu wa jf, anadai demu alikenua sana ndani ya bmw🀣🀣🀣
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Yule jamaa kiboko
Yani nikiona nyuzi zake naandaa leso ya kujifutia machozi kwa kucheka
 
Maokoto muhimu bro πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Unatakiwa uombe maokoto separetly usihusiane na sex.
NAkupa kiroho safi.
Sex sinunuagi wala si uzi.

Nikianza kununua sex sitataka mpenzi wa kudumu kwani wauzaji ni warembo kupitiliza.

So uelewa sinunui wala siuzi.
Kupeana pesa ni muhimu lkn silipii chuu...big no
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…