Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanawake huwa wanatuona hatunazo na tunaendeshwa na ny ege, sisi sio wajinga...hata kama nafanya vitu vya kijinga...niogope hivyo hivyohahahahahaha wanaume si wajinga
Maombi yake anaombea nini zaidi?Mimi Mama yangu Kwa Sasa nimemuwekea kautaratibu, Kila iwapo Ijumaa, najitahidi Nimtumie Laki Moja.
Mama anafurahi sana, ananiombea Kwa Mungu
MKuu ile kitu ndio imeishia hewani hivi hivi?Wamekuwa changamoto sana aisee
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Wanasema kuteseka sio sifa, wote wanataka wanaume matajiri humu wakiongozwa na ma sniper waandamizi Joanah bila kumsahau LamomyUjana ni kazi.
Kuna mdogo wa rafiki yangu kafilisiwa na mwanamke nsomi wa Kiunguja ndani ya miaka 5.
Toka ubilionea kwa viwango vyaTanzania, mpaka ubaoni hajui la kufanya.
Mwanamke anasema wazi, nilipokupenda ulikuwa na pesa, sasa katafute zingine utanikuta nipo tu.
Nawashauri vijana wacheni wazee wenu wawatafutie wake wa kuowana nao, tena muoane wakati wa dhiki, siyo wakati wa faraja.
Nikutangulize au nitangulie?Nitalipa mkuu, kisasi cha miaka ndio kitamu mkuu🤣🤣
Umemalizia vizuri, usimuonyeshe unayemuoa kuwa unajiweza...mbele ya pesa wanawake wote ni wema sanaUjana ni kazi.
Kuna mdogo wa rafiki yangu kafilisiwa na mwanamke nsomi wa Kiunguja ndani ya miaka 5.
Toka ubilionea kwa viwango vyaTanzania, mpaka ubaoni hajui la kufanya.
Mwanamke anasema wazi, nilipokupenda ulikuwa na pesa, sasa katafute zingine utanikuta nipo tu.
Nawashauri vijana wacheni wazee wenu wawatafutie wake wa kuowana nao, tena muoane wakati wa dhiki, siyo wakati wa faraja.
Shikamoo mpendwaMambo ni mengi sana hii nchi...foolish age
Unataka kuninyima nini mkuuShikamoo mpendwa
Nishakunyima sikunyimi tena😂😂😂Unataka kuninyima nini mkuu
Tajiri awe anakupa sasa....anaweza kuwa nazo na asitoeCazee yamekuwa hayo 😂😂😂
Ila mwanaume tajiri ana raha yake km wote wote wanazo hata maskini bana
View: https://youtu.be/ZFv4jnFh-Pg?si=jHxgMeMiFpAmN2Rj
Wakuu kama bando lipo ingia hapo uone ni jinsi gani dunia inakwenda kasi.
Short description kwa wasio na bundle;
Jamaa aliamua kumzawadia girlfriend wake anayemaliza chuo kwa sharti moja tu, " Ataje jina la mpenzi wake. Binti kumbe ana msururu wa mabwana hivyo kashindwa kutaja jina sahihi, kamtaja bwana Beni kumbe sio Beni aliyetoa zawadi ya gari.
Ndipo tulipo na mahusiano ya kisasa. Vijana mna kazi sana kutafuta walau wadada wenye nafuu, hii mbinu nimeikubali.
Chanzo: Global TV Online.