Mrembo wa chuo akosa zawadi ya gari kwenye mahafali yake. Binti zetu mmekuwaje?

Mrembo wa chuo akosa zawadi ya gari kwenye mahafali yake. Binti zetu mmekuwaje?

Kaaa hukohuko kula vya bonyokwa 😅😅😅
Tatizo bado hujawa shangazi, nalo ni tatizo hili. Ila potelea mbali, tutaishi hivyo. Niweke mkao wa kula basi 🤣🤣
 
Tatizo bado hujawa shangazi, nalo ni tatizo hili. Ila potelea mbali, tutaishi hivyo. Niweke mkao wa kula basi 🤣🤣
HAlafu ndio tayari umetongoza hivyo...we kumbafu sana, mbinu rahisi zenye matokeo🤣🤣🤣
 
Wanawake wote tunajua mbwa ni wanaume 😂😂😂
Na pesa mtoe kwa wanawake zenu acheni ubahili
Dada hicho kitu hata uhonge vipi...yaani ntie acheni tu.
Hiyo ngozi imekaa pabaya😂
 
Back
Top Bottom