Missy Gf
JF-Expert Member
- Oct 30, 2022
- 5,441
- 15,201
Kaaa hukohuko kula vya bonyokwa 😅😅😅Haya tusimhusishe Mungu, niweke sawa nika vizuri mkuu. Hata Helsinki nakuja🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaaa hukohuko kula vya bonyokwa 😅😅😅Haya tusimhusishe Mungu, niweke sawa nika vizuri mkuu. Hata Helsinki nakuja🤣🤣
Tulia mwananguKha we kaka
Tafula hela BrazaKuna watu wana moyo wa utoaji aisee!
Yaani una mpa gari Mpenzi tu, ambaye unaweza kuta amewapanga zaidi ya 10 na wote hamjuani 🙌
Hiyo gari si bora angempa zawadi Mama yake mzazi kuliko hawa wasambasa UTI sugu, Kaswende na HIV
Wanawake wote tunajua mbwa ni wanaume 😂😂😂Mbwa mwenyewe...utatoa nini😂😂😂
HAlafu ndio tayari umetongoza hivyo...we kumbafu sana, mbinu rahisi zenye matokeo🤣🤣🤣Tatizo bado hujawa shangazi, nalo ni tatizo hili. Ila potelea mbali, tutaishi hivyo. Niweke mkao wa kula basi 🤣🤣
Dada hicho kitu hata uhonge vipi...yaani ntie acheni tu.Wanawake wote tunajua mbwa ni wanaume 😂😂😂
Na pesa mtoe kwa wanawake zenu acheni ubahili
Niliona mchango wako kwenye Ile thread hebu niache we mubabaTatizo bado hujawa shangazi, nalo ni tatizo hili. Ila potelea mbali, tutaishi hivyo. Niweke mkao wa kula basi 🤣🤣
Mimi ni mshangazi si mchezoTatizo bado hujawa shangazi, nalo ni tatizo hili. Ila potelea mbali, tutaishi hivyo. Niweke mkao wa kula basi 🤣🤣
Sasa ndio unajipeleka kwa hilo lifisi sasa🤣Mimi ni mshangazi si mchezo
Sasa ndio unajipeleka kwa hilo lifisi sasa🤣Mimi ni mshangazi si mchezo
Toeni pesa sisi tunajua wanaume mna pesa kuliko sisi 😂😂😂Dada hicho kitu hata uhonge vipi...yaani ntie acheni tu.
Hiyo ngozi imekaa pabaya😂
Hapana mama, huyo niliyemtaja nilikuwa namtania kuhusu hilo jina...linachekesha sana😂Ulipigwa nini mkuu😆