Mrembo wa chuo akosa zawadi ya gari kwenye mahafali yake. Binti zetu mmekuwaje?

Mrembo wa chuo akosa zawadi ya gari kwenye mahafali yake. Binti zetu mmekuwaje?

Kama bongo movie hii ingeitwa"Balaa na nusu la shemeji,"sterling Uwoya,Gabo Zigamba,na Duma mnyama[emoji16][emoji16]

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hapo wewe Maria, Glenn Professor na ERoni Thomas afu tukana kaka fure me Lulu diva [emoji23][emoji23][emoji23]
Ndani ya jua kali
 
Nimeachwa ghafla sana hapa Nina kizunguzungu na pia napumua Kwa shida sijui ndio presha!!tutawezana Kweli shemeji
Shemeji haya maneno nakuambia sio kwa sababu umekosana ña bwanamdogo, ila kwa sababu una kila sababu ya kuwa my love wangu😀😀😀sijatupia vocals mda sana 🤣
 
Shemeji haya maneno nakuambia sio kwa sababu umekosana ña bwanamdogo, ila kwa sababu una kila sababu ya kuwa my love wangu😀😀😀sijatupia vocals mda sana 🤣
Hii kitaalamu inaitwa Exchange program Glenn kahamia Kwa baby wako Missy Gf na wewe unabadilisha stutus kutoka shem Sasa unakuwa mylove wangu🤣🤣Hii nchi uhuru umezidi
 
Back
Top Bottom