Mrembo wa chuo leo kakubali kwa matunzo ya laki moja kwa mwezi

Mrembo wa chuo leo kakubali kwa matunzo ya laki moja kwa mwezi

Hivi hii nchi ni hali ya uchumi ni tete au pesa yetu imepanda thamani, nilimtongoza binti mmoja ana 28 yrs yupo Chuo cha Mipango Dodoma, kimasihara tu nikamuomba namba maeneo ya NBC Benki nilikuwa natokea chako ni chako, nikamwambia wewe mrembo, njoo pls nikampaisha mbona mrembo sana ila sijui ntakumudu mahitaji yako, akauliza utaweza sana tu, nshakuona matumizi yako Royal Village na Bambalaga.

Nikastuka nikauliza kwani ushawahi kuniona? akasema ndio hua nakuja na dada yangu nakuona sana tu. Nikamwambia mi matumizi yangu mbona kawaida sana, akasema kama unamaliza elfu50 hadi Laki kwa mtoko mmoja huwezi kushindwa kunisupport Laki kwa mwezi, walau mlo mmoja kwa siku.

Nikafupisha story na mimi nikampa namba yangu nikamwambia kama unamaanisha support ya laki inatosha wewe uwe mpenzi wangu, anytime ukiwa tayari nipe jibu na bond ianze mapema sana.

Leo kanipa jibu, amesisitiza nisije kukiuka makubaliano, nimempa uhakika kwamba imani yake na tabia zake ndio motisha kwangu.

Leo anakula sikukuu kwa Dadake, kesho niko nae ntaianza project mpya ya Kimeru toka User river Arusha, ntakuwepo Royal Village kwanzia saa 2 ucku hio kesho.

Hii ni dalili ya nini hasa ni uchumi mgumu? mapenziyamekufa,? mbususu haina thamani? mapenzi biashara? Nimedata sielewi.

Msagara anarudi Morogoro kesho mapema tu saa 6 mchana anainuka Moro na Shabiby

Inshallah mwaka unaanza na mahaba motomoto hii ya Kimeru ni " Pisi Vibes"

Tuambizane wenye matukio ya mapenzi ya kuwa na bill za mwezi karibuni

Wadiz a.k.a ndio mimi
Hyo laki kwa mwezi n nyingi au una maanisha nn mkuu?
 
Mtoto wa kimeru, mwanafunzi ana miaka 28! Matunzo ya box 1 tu kwa mwezi! Hongera sana mwaka umeuanza vizuri arif..sasa usimchezee umuoe.
anafaa sana kuoa ila mimba kwanza, ntafatilie nijue outings zake zina contents gani ntampeleka maeneo kibao nijue mengi kumhusu
 
Hyo laki kwa mwezi n nyingi au una maanisha nn mkuu?
Naona ndogo sana nilidhani atataka on average 150-200, ninavyo muuona anataka ndoa ila katumia hio kama ya bonding ili apate platform ya maongezi zaidi
 
Hapo mkiwa watano ina maana kila mwezi ana laki tano, atajua jinsi ya kuwapanga akiwa kwa mwingine utaelezwa niko kwa dada leo kanibana kweli, akiwa kwako mwingine ataekezwa nina discussion, yaani hapo bado wale wa juu kwa juu ina maana kila mwezi anaweza kupata hata laki nane au saba , miaka mitatu ya chuo ana biashara yake safi au keshajenga kwao halafu utamuona mjinga kumbe ana akili kuliko wewe,
 
Sio kweli Mkuu dada yake nshaijua ofisi yake
kwahyo kaka binti unamfahamu vizur au...
....... nilimtongoza binti mmoja ana 28 yrs yupo Chuo cha Mipango Dodoma, kimasihara tu nikamuomba namba maeneo ya NBC Benki nilikuwa natokea chako ni chako, nikamwambia wewe mrembo, njoo pls nikampaisha mbona mrembo sana ila sijui ntakumudu mahitaji yako, akauliza utaweza sana tu, nshakuona matumizi yako Royal Village na Bambalaga.

Nikastuka nikauliza kwani ushawahi kuniona?
akasema ndio hua nakuja na dada yangu nakuona sana tu. Nikamwambia mi matumizi yangu mbona kawaida sana, akasema kama unamaliza elfu50 hadi Laki kwa mtoko mmoja huwezi kushindwa kunisupport Laki kwa mwezi, walau mlo mmoja kwa siku.
?????
Leo anakula sikukuu kwa Dadake, kesho niko nae ntaianza project mpya ya Kimeru toka User river Arusha, ntakuwepo Royal Village kwanzia saa 2 ucku hio kesho
???
.........anarudi Morogoro kesho mapema tu saa 6 mchana anainuka Moro na Shabiby
Au mimi ndo sijaelewa mkuu
 
Back
Top Bottom