cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Umemaliza kila kitu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hapo mkiwa watano ina maana kila mwezi ana laki tano, atajua jinsi ya kuwapanga akiwa kwa mwingine utaelezwa niko kwa dada leo kanibana kweli, akiwa kwako mwingine ataekezwa nina discussion, yaani hapo bado wale wa juu kwa juu ina maana kila mwezi anaweza kupata hata laki nane au saba , miaka mitatu ya chuo ana biashara yake safi au keshajenga kwao halafu utamuona mjinga kumbe ana akili kuliko wewe,
Sent using Jamii Forums mobile app