Mrembo wa chuo leo kakubali kwa matunzo ya laki moja kwa mwezi

Mrembo wa chuo leo kakubali kwa matunzo ya laki moja kwa mwezi

Hapo mkiwa watano ina maana kila mwezi ana laki tano, atajua jinsi ya kuwapanga akiwa kwa mwingine utaelezwa niko kwa dada leo kanibana kweli, akiwa kwako mwingine ataekezwa nina discussion, yaani hapo bado wale wa juu kwa juu ina maana kila mwezi anaweza kupata hata laki nane au saba , miaka mitatu ya chuo ana biashara yake safi au keshajenga kwao halafu utamuona mjinga kumbe ana akili kuliko wewe,
Sure muhimu ni kubalance mitafuno tu inayotoshea posho yako basii
 
Kuna mrembo mmoja umbo namba 8 wa IFM , alinieleza kwenye simu nina namba zaidi ya 150 za. Wanaume anachofanya kila wiki anatafuta kisa atumiwe 3000 au 4000 anachofanya anaandika text mfano dear naomba elfu tatu nichangie umeme au maji, basi text ile ataituma kwa namba zote 150 kwa haraka watu 100 watamtumia elfu nne wengine 5 , wengine watajikoki elfu 10 na hapo mwanaume utajisifu huyu mrembo hana matumizi ya pesa kabisa kumbe uko kwenye target hivo kila wiki yule mrembo ana uhakika wa kupata laki tatu hadi nne, kwahiyo warembo wako wenye akili kabisa na anaduka la nguo tabata anasogeza maisha vizuri
 
Nimeona kuna sehem kweny uzi wako umesema utaanza project rasm....sasa nkuambie tu ukwel wewe ndo project yenyew kwa huyo mwanachuo na anazo project zaid ya 100...akili kumkichwa
 
Kuna mrembo mmoja umbo namba 8 wa IFM , alinieleza kwenye simu nina namba zaidi ya 150 za. Wanaume anachofanya kila wiki anatafuta kisa atumiwe 3000 au 4000 anachofanya anaandika text mfano dear naomba elfu tatu nichangie umeme au maji, basi text ile ataituma kwa namba zote 150 kwa haraka watu 100 watamtumia elfu nne wengine 5 , wengine watajikoki elfu 10 na hapo mwanaume utajisifu huyu mrembo hana matumizi ya pesa kabisa kumbe uko kwenye target hivo kila wiki yule mrembo ana uhakika wa kupata laki tatu hadi nne, kwahiyo warembo wako wenye akili kabisa na anaduka la nguo tabata anasogeza maisha vizuri
Hatari sana 150? halafu figure no.8
 
Nimeona kuna sehem kweny uzi wako umesema utaanza project rasm....sasa nkuambie tu ukwel wewe ndo project yenyew kwa huyo mwanachuo na anazo project zaid ya 100...akili kumkichwa
Hii inaitwa kula uliwe au kula kulana, it's win- win situation
 
Hivi hii nchi ni hali ya uchumi ni tete au pesa yetu imepanda thamani, nilimtongoza binti mmoja ana 28 yrs yupo Chuo cha Mipango Dodoma, kimasihara tu nikamuomba namba maeneo ya NBC Benki nilikuwa natokea chako ni chako, nikamwambia wewe mrembo, njoo pls nikampaisha mbona mrembo sana ila sijui ntakumudu mahitaji yako, akauliza utaweza sana tu, nshakuona matumizi yako Royal Village na Bambalaga.

Nikastuka nikauliza kwani ushawahi kuniona? akasema ndio hua nakuja na dada yangu nakuona sana tu. Nikamwambia mi matumizi yangu mbona kawaida sana, akasema kama unamaliza elfu50 hadi Laki kwa mtoko mmoja huwezi kushindwa kunisupport Laki kwa mwezi, walau mlo mmoja kwa siku.

Nikafupisha story na mimi nikampa namba yangu nikamwambia kama unamaanisha support ya laki inatosha wewe uwe mpenzi wangu, anytime ukiwa tayari nipe jibu na bond ianze mapema sana.

Leo kanipa jibu, amesisitiza nisije kukiuka makubaliano, nimempa uhakika kwamba imani yake na tabia zake ndio motisha kwangu.

Leo anakula sikukuu kwa Dadake, kesho niko nae ntaianza project mpya ya Kimeru toka User river Arusha, ntakuwepo Royal Village kwanzia saa 2 ucku hio kesho.

Hii ni dalili ya nini hasa ni uchumi mgumu? mapenziyamekufa,? mbususu haina thamani? mapenzi biashara? Nimedata sielewi.

Msagara anarudi Morogoro kesho mapema tu saa 6 mchana anainuka Moro na Shabiby

Inshallah mwaka unaanza na mahaba motomoto hii ya Kimeru ni " Pisi Vibes"

Tuambizane wenye matukio ya mapenzi ya kuwa na bill za mwezi karibuni

Wadiz a.k.a ndio mimi
Uchague kabisa na kituo cha kupokelea ARV
 
Back
Top Bottom