Mrembo wa chuo leo kakubali kwa matunzo ya laki moja kwa mwezi

Sure muhimu ni kubalance mitafuno tu inayotoshea posho yako basii
 
Kuna mrembo mmoja umbo namba 8 wa IFM , alinieleza kwenye simu nina namba zaidi ya 150 za. Wanaume anachofanya kila wiki anatafuta kisa atumiwe 3000 au 4000 anachofanya anaandika text mfano dear naomba elfu tatu nichangie umeme au maji, basi text ile ataituma kwa namba zote 150 kwa haraka watu 100 watamtumia elfu nne wengine 5 , wengine watajikoki elfu 10 na hapo mwanaume utajisifu huyu mrembo hana matumizi ya pesa kabisa kumbe uko kwenye target hivo kila wiki yule mrembo ana uhakika wa kupata laki tatu hadi nne, kwahiyo warembo wako wenye akili kabisa na anaduka la nguo tabata anasogeza maisha vizuri
 
Nimeona kuna sehem kweny uzi wako umesema utaanza project rasm....sasa nkuambie tu ukwel wewe ndo project yenyew kwa huyo mwanachuo na anazo project zaid ya 100...akili kumkichwa
 
Hatari sana 150? halafu figure no.8
 
Nimeona kuna sehem kweny uzi wako umesema utaanza project rasm....sasa nkuambie tu ukwel wewe ndo project yenyew kwa huyo mwanachuo na anazo project zaid ya 100...akili kumkichwa
Hii inaitwa kula uliwe au kula kulana, it's win- win situation
 
Uchague kabisa na kituo cha kupokelea ARV
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…